Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
Mh Edward lowassa akiwa katika Mkutano wa ndani MBEYA vijijini muda huu akiendelea na ziara ya Kujenga UKUTA na kazi ya chama ndani ya chama .
najiuliza kama lowassa atakuwa mstari wa mbele tarehe 1 septemba
Wakimkamata huyu Lowassa pengine ukuta utaanza siku hiyoyo, ndio utajua kuwa kweli alishinda kwa salimia 62. Watanzania bado wanaimani naye, ila sasa wananchungulia tu Magufuli anafanya nini kwanza. Lakini naona kama anachuja kwa haraka, sababu haji na mpya tena baada ya kutumbua vidagaa pale bandarini.Wakamkamate lowassa sasa. Si kazuia mikutano ya kisiasa?
Swali la maingi sana. Na huyo ndiye tunayemtafutanajiuliza kama lowassa atakuwa mstari wa mbele tarehe 1 septemba
Mwisho wake kisiasa umewadiaHa ha haa!..huyu jamaa ni fighter
Usiache pia kujiuliza siku ya kupambana na UKUTA Magufuli atakuwa mstari wa mbele kugonga virungu?.najiuliza kama lowassa atakuwa mstari wa mbele tarehe 1 septemba
Mnamtafutaje mtu ambaye Ana isha kisiasa?.Swali la maingi sana. Na huyo ndiye tunayemtafuta
Muruhusuni azunguke kuwashukuru wananchi waliompigia Kura ndipo mtakapopata jibu Kama mwisho wake kisiasa umewadia.Mwisho wake kisiasa umewadia
Hebu zitaje.Yaani Lowasa huyu aliyekuwa kila akipita anatisha,Akifika mahali anapokelewa na wakuu wote wa vikosi vya ulinzi na usalama na kupigiwa saluti toka kila upande Leo hii anapokelewa na BAVICHA!
Mwenyezi Mungu kamwadhibu barabara kwa dhambi alizowatendea watanzania walio wengi