Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,508
- 911,249
Ukiwa mwanachama wa CCM sikuzote huwazi kwa kutumia akili.
sikutegemea kabisa kama Ole Sendeka na yeye angetumia makalio kwenye hili sakata la Lowassalism
Ondoa ujinga wako hapa. Kampeni ni za mgombea wa CCM siyo za Lowasa. Mbona CHADEMA kuna makundi na hamusemi? Kuna kundi la mbowe na kundi la Zito. Dr Slaa yupo kama popo tuu kila kitu yeye anakubali tuu hasa analolisema Bwana Mkbwa Mbowee
Ondoa ujinga wako hapa. Kampeni ni za mgombea wa CCM siyo za Lowasa. Mbona CHADEMA kuna makundi na hamusemi? Kuna kundi la mbowe na kundi la Zito. Dr Slaa yupo kama popo tuu kila kitu yeye anakubali tuu hasa analolisema Bwana Mkbwa Mbowee
ole sendeka mnafiki tuu kama anne kilango na kama beatrice shellukindo
hata akienda kumnadi Siyoi Sendeka kwa asili hawaivi na Lowassa,kwanza alichangia sana huko nyuma kutaka Lowassa asikubalike na wamasai kwa kumleta mmasai kule monduli ili achukue jimbo,anaweza kuigiza kny kampeni lakini yeye na Lowassa siyo!
hata akienda kumnadi Siyoi Sendeka kwa asili hawaivi na Lowassa,kwanza alichangia sana huko nyuma kutaka Lowassa asikubalike na wamasai kwa kumleta mmasai kule monduli ili achukue jimbo,anaweza kuigiza kny kampeni lakini yeye na Lowassa siyo!
Kampeni za uchaguzi jimbo la Arumeru mashariki zitaibua mengi mwaka huu. Christopher Ole sendeka aliyekuwa mmoja wa wanamgambo wa ufisadi sasa amejifunga kibwaya na kujiunga na kambi ya EL kuhakikisha mgombea wao Sioi anashinda.
Ole Sendeka ameamua kwenda Arumeru kuongeza nguvu na jana alipanda jukwaani kumnadi Sioi na kusema hhuyo ndie mkumbozi pekee wa wameru na amekula yamini kumuunga mkono hadi ushindi upatikane.
Kwa hali hiyo Ole Sendeka amejitenga na kundi la Sitta na sasa ameungana na Beatrice Shelukindo katika kuhamia kambi ya Lowasa ambayo imo katika vita baridi kuwania urais 2015. Ikumbukwe Mama shelukindo na mumewe walikuwa kambi ya sita before 2010 lakini baada ya uchaguzi mkuu mama huyu akaingia kambi ya Lowasa.
nani kama Lowassa???