Achana na kitu Pesa. Pesa imenunua utu wa mtu
Sidhani kama itatusaidia kutafuta majibu rahisi kwa maswali magumu kwa kuamini kuwa matatizo yote humu nchini km vle ajira, mfumuko wa bei,miundombinu,elimu,afya,nishati nk. Katika Nchi yenye miaka hamsini eti umesababishwa na Lowassa, huku ni kuukimbia ukweli kuwa tatizo ni CCM, Watu wengi wameingia mtego eti kuwa ndani ya CCM kuna mafisadi na wanaopinga ufisadi hvyo wanaojiita wanapinga ufusadi wanapata uungwaji mkono mkubwa, dhana hii (kuwepo mafisadi vs wapambanaji) ndio inaipa CCM uhalali na uungwaji mkono, ukweli huwezi kuogelea kwenye bwawa la tope na ukatoka msafi. Tutafute suluhisho na wala si kumfanya Lowassa scapegoat !
Ukiwa mwanachama wa CCM sikuzote huwazi kwa kutumia akili.
sikutegemea kabisa kama Ole Sendeka na yeye angetumia makalio kwenye hili sakata la Lowassalism
Ukiwa mwanachama wa CCM sikuzote huwazi kwa kutumia akili.
sikutegemea kabisa kama Ole Sendeka na yeye angetumia makalio kwenye hili sakata la Lowassalism
sio kigeu geu,ccm kwanza at work,huo ndio utamaduni wetu!Sendeka kigeugeu
Sidhani kama itatusaidia kutafuta majibu rahisi kwa maswali magumu kwa kuamini kuwa matatizo yote humu nchini km vle ajira, mfumuko wa bei,miundombinu,elimu,afya,nishati nk. Katika Nchi yenye miaka hamsini eti umesababishwa na Lowassa, huku ni kuukimbia ukweli kuwa tatizo ni CCM, Watu wengi wameingia mtego eti kuwa ndani ya CCM kuna mafisadi na wanaopinga ufisadi hvyo wanaojiita wanapinga ufusadi wanapata uungwaji mkono mkubwa, dhana hii (kuwepo mafisadi vs wapambanaji) ndio inaipa CCM uhalali na uungwaji mkono, ukweli huwezi kuogelea kwenye bwawa la tope na ukatoka msafi. Tutafute suluhisho na wala si kumfanya Lowassa scapegoat !