kwisha kazi
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 690
- 321
Waziri mkuu mstaafu na waziri mkuu aliyejihuzuru kwa kashfa ya wizi.Mawaziri wa kuu wastaafu na wajumbe wa kamati kuu Y CHADEMA ndugu EDWARD LOWASA na FREDRICK SUMAYE siku ya leo tar 06/1112016 walipata wasaa mzuri wa kushirika katika uzinduzi wa dayosisi mpiya ya KKKT jimbo la Mwanga.
Katika uzinduzi huo ambao raisi wa Jamuhuri ya muungano ndio slikua mgeni rasim lakin alituma mwakilishi ambaye ni mkuu wa mkoa wa kilimanjaro Bwana Meck Sadick,viongozi hawa walipokelewa kwa bashasha na nderemo huku wakiwapongeza wakazi wa Mwanga kwa kupata dayosisi ambayo waliitafta kwa miaka mingi.