Edward Lowassa aungwa mkono na Wamarekani (USA)

hahahahahahhaahahahh mwizi apiganiwe na wamarekani labda anamwuliza richmond alikutana nayo wapi mzee wa richmondoli
 
Fikiri kwa kutumia ubongo....
sijui umelambishwa ngapi wakati wenzako wanazikataa
[SIZE=4 said:
laki si pesa[/SIZE];11671204]lowasa ni rais anaesubiri kuapishwa october
wacha laki si pesa Diamond katishiwa 500m ww unaota laki

DSC08299.jpg
 
Fikiri kwa kutumia ubongo....


Sina akili za kushikiwa kama wewe, ni mtu ninayeamini maisha bora najiletea mwenyewe na serikali ina wajibu wa kunilinda na si aina yeyote ile ya mwanasiasa/chama fulani ndo kinaniletea maisha bora wala unafuu wa maisha.
kwa kifupi acha kuburuzwa kama ngo'mbe amka, zinduka pambana na umasikini wa fikra tumia ubongo wako katika kutumia rasilimali na mazingira yakuzungukayo kusaidia jamii na si kutumika kama ngazi katika kupandwa na wenzako kufika kileleni mwa mafanikio.

Sikulazimishi unielewe, ila kama una akili timamu utatekeleza nilichokiandika. Ni hayo tu.
 
... wamarikani wakikukubali, we jiandae kuapishwa tu !!!

Wamarekani wanataka serikali mbili,Kama Lowassa au mgombea mwingine kama Sitta na Vijisenti ni muumini wa serikali mbili watampa likes .Wapinzani wa Lowasa wako kwenye JF ni idadi ndogo ukilinganisha na wananchi wapiga kura wengi ambao hawafuatilii JF.Tatizo au kikwazo cha Lowassa ni NEC na kamati kuu ya CCM wala si mkutano mkuu.Kama akipenya hapo uraisi ni wa kwake.
 
Leo Majira ya saa nne asubuhi nilipokuwa karibu na ubalozi wa marekani nikaona tunasimamishwa kupisha msafara wa balozi wa marekani , Okello baada ya kupisha nikaamua kuufuatilia kwa nyuma, majira ya saa tano hivi Hyatt Regency hotel balozi wa Marekani Mh. Mark Childress alikuwa na kikao na Mh Edward lowassa Mbunge wa Monduli.

Katika kikao hicho walicho kaa wawili hao ni dhahiri wamarekani wameamua kumuunga mkono katika mbio za Kuwakomboa watanzania.

Hivyo wale waakili kubwa ni kwamba wababe wa dunia wanaanza negotiation mapema na Simba wa siasa mwenye maamuzi magumu mapema wasije wakaambulia yalio wakuta waingereza walipo jaribu kuwatikisa watanzania pale Edward Lowassa alipo amua kanda ya ziwa wapate Maji kutoka Victoria..

Kaa Mkao wa Maamuzi na Matumaini mapya.

John Okello ninae omboleza kifo cha Betty Ndenjembi.
Basi itabidi akawaongoze hao hao wamarekani wanaomkubali zaidi!
 
Hivi si tulipata kusikia rais wa Marekani amemtaka Lazaro Nyalandu!? Hata uzi unaozungumzia hili upo humu. Wamebadiri mawazo au!?
 
Lowasa na jk ni walewale tu. Kwa sasa yoyote atakayetoka ndani ya ccm matatizo ni yaleyale tu hakuna jipya. Any way tunaomba mwenye cv ya lowasa atuwekee hapa jamvini tafadhali.

Viwango vya ujinga ktk nchi hii viko juu mno...Eti huyu anahitaji CV ya Lowassa,ya kiaje labda?Inamaana humwelewi Lowassa siyo,au huelewi maana ya kitu unachouliza ?
 
Back
Top Bottom