Nape ajiandae
Ni katika kanisa la kkkt usharika wa nyumbani kwake monduli. Aweka wazi ndoto za Tanzania anayoitaka na ampinga Warioba kuhusu serikali tatu
Lowasa akunaga!anasubiri kuapishwa tu.
Wewe mwenye nazo umeleta taarifa gani sasa!
Wakuu nafatilia habari Channel 10 kuna habari ya mhe. lowasa yupo kanisani huko monduli nimemsikia akiomba watz wamwombee ktk safari yake ngumu kwenye milimani, mabonde na miiba. ila mhe. hajafafanua anaelekea wapi. Kuna mtu anayeweza kunitoa tongotongo mhe.ana safari ya kuelekea wapi?