Sasa kuchaguliwa achaguliwe mdogo wako wewe maswali hayo ya nini?Habari zenu wandugu ,dogo wangu kachaguliwa udom coz ya EDUCATIONAL TECHNOLOGY ,je hii coz inahusiana na nn na je ipo marketable kwenye ajiri,msaada hapo
Bilashaka kachaguliwa college of informatics and virtual education (cive-udom) hyo coz inahusu mambo ya computer na technology kwa ujumla NB sio ualimu ni ufahamu tu kuhusu computer na technology kwa ujumlaHabari zenu wandugu ,dogo wangu kachaguliwa udom coz ya EDUCATIONAL TECHNOLOGY ,je hii coz inahusiana na nn na je ipo marketable kwenye ajiri,msaada hapo
ha ha ha watu mnakusudi sana ... kwa iyo ni kujua ka kompyuta tu...Bilashaka kachaguliwa college of informatics and virtual education (cive-udom) hyo coz inahusu mambo ya computer na technology kwa ujumla NB sio ualimu ni ufahamu tu kuhusu computer na technology kwa ujumla
Kukosa nini?kusoma au?mimi wakati nasoma wewe hujazaliwa pengine nimesoma labda na baba yako wakati huo.Majibu ya mkosaji hayo ,bora ukae kimya tu dogo
Muache akasome huko hata ukijua haitobadilisha kitu,hujui Educational Technology ni kozi ya nini?una level gani ya elimu tuanzie hapo.Mkuu hii aliweka tu kama last chance na ndowamemchagua ,hila hatujajua vzur ni education ya namna gani