<br /><br />
<br /><br />
<br />
nlipata 3 ya 15(form 6),na nliomba mkopo jina halikutoka,ila m2 mmoja alipofatilia bodi alisema jina lilikuwa linaonesha 90%,ila nothng i get,ila cha ajabu kuna wanaopokea wakina na div. 3 za mwisho na si kuwa wanasoma education.mi nachukua law(LLB)