Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,410
- 82,319
tbway sawa huyo mwingine simjui ht kidogoo
Hahahaaa, hua huangalii star tv eeh? Mshamba hatariii.
tbway sawa huyo mwingine simjui ht kidogoo
Hahahaaa, hua huangalii star tv eeh? Mshamba hatariii.
hahhaha sawa na kumlinganisha best naso na chris brown!!!! huyo mabele bado sana, inshort angekua anatangaza taarifa ya habari tu vipindi vya swagg havimfai
Siwezi kupoteza hata dakika tano kuwaangalia hao watu
Hahahaaa, hua huangalii star tv eeh? Mshamba hatariii.
Japo huyo mabere simjui ila nilihisi tu atakuwa mshamba maana kiasili wasukuma/watu wa mwanza ni washamba, huwezi kulinganisha na mtoto aliyekulia Dar
We naw Cheng sa unapotez VP watu wanapenda kijishaua weka mbali na watoto we n mtoto kwani kama mabele anayecopy swagaYaani huyo Tbwa ana kiswahili cha ajabu ajabu balaa.
Weka mbali na watoto vipindi vyao.
Teh Teh huyu Mabele ni kituko kabisa