hajasoma tambaza bhanatambaza alimaliza level gani mkuu mwaka gani huo!
hayuko seriousUmefanya thread iishie hapa !!!!!!!!!!!
messi wa dunia nyingineKwa sasa unaweza mfananisha na Messi
ni kweliSikinde na Kulagwa hawamfikii Lunyamila kabisaa
Hata mie simba.... Lunya hakika alikua kiboko, natumaini anaendesha vema maisha yake nje ya soka.Dah,huyu jamaa alitutesa sana simba,enzi hizo mtangazaji akisema"na nambari 11 ni kama kawaida edibily lunyamila!" mapigo ya moyo yalikuwa yana change ghafla kwa kusikia tu jina,akishika mpira ndo salaleee! Jamani Lunya Lunya!
tambaza alimaliza level gani mkuu mwaka gani huo!
Alisoma shy bush kama sikosei.nakumbuka matokeo yake yalipotoka wapenzi wa simba walifurahia sana maana alitaga yai
na wewe umekosea,sio buluba ni BUHANGIJASiyo Shy Bush Mkuu, ni Buluba Sekondari iko mjini Shinyanga karibu kabisa na Shinyanga Government Hospital. Shule hiyo inamilikiwa na Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Shy (SHIRECU). 'Buluba' ni jina la kikwetu maana yake 'Pamba'.
Ha ha ha! Mkuu.Haya yalikuwa ni matangazo ya moja kwa moja kutoka Uwanja wa taifa mjini Dar es salaam kupitia redio Tanzania Dar es Salaam,"Mpira unatoka katika lango la timu ya Dar Yanga Afrikans kuelekea katika lango la timu ya Simba "Taifa Kubwa", Golikipa wa Yanga Steven Nemes anaupiga mpira vizuri kabisa hukuuuuu anauchukua Said Mwamba Kizotaa Kizotaa anampasia Method Mogella Mogella pembeni kabisaaaa anampelekeaaa kwakeeee Salum Kabunda Kabundaa Kabunda kwakeee Constatine Kimanda Kimandaaa anapeleka mpira kwa Ken Mkapa Ken Mkapa Mkapa Mkapa anatoa pasi ndeeeefuuuuu kwake Lunyamila Lunyaamiilaaaaaa Lunyamilaaaa chenga ya kwanza chenga ya piliii Lunyamila bado Lunyamilaaaa Lunyamilaaaa hatari katika lango ya timu ya Simba lalalalalalalal gooo lalaa goooo alalalalal Gooooooooooooooooooooooooo!!!
Aliesoma BULUBA ni Nteze JohnSiyo Shy Bush Mkuu, ni Buluba Sekondari iko mjini Shinyanga karibu kabisa na Shinyanga Government Hospital. Shule hiyo inamilikiwa na Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Shy (SHIRECU). 'Buluba' ni jina la kikwetu maana yake 'Pamba'.
hajasoma tambaza bhana
Alisoma shy bush kama sikosei.nakumbuka matokeo yake yalipotoka wapenzi wa simba walifurahia sana maana alitaga yai
amesoma Buhangija wakati wa headmaster Kija na alihitimu 1992!ukiyataka hata matokeo yake naweza kuku pm!Siyo Shy Bush Mkuu, ni Buluba Sekondari iko mjini Shinyanga karibu kabisa na Shinyanga Government Hospital. Shule hiyo inamilikiwa na Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Shy (SHIRECU). 'Buluba' ni jina la kikwetu maana yake 'Pamba'.
amesoma Buhangija wakati wa headmaster Kija na alihitimu 1992!ukiyataka hata matokeo yake naweza kuku pm!
uganda anaheshimika kuliko Tz, kuna siku walinifananisha naye
papa mopao hapo mtangazaji (afu awe swedi mwinyi) anaposema "sasa anao lunyamilaaa! Kweli nilikuwa nataka kuzimia! Huyu mtu itachukua muda nchi ku produce kipaji cha aina hii!