Hata Sina kinyongo
Senior Member
- May 16, 2020
- 118
- 280
Huu ni ushauli kwako ndugu Eddo achana na siasa na jikite katika tasnia ambayo unaimudu.
Habari zilizopo umekuwa kiunganishi baina ya wanasiasa fulani wanaotaka kuhama chama A kwenda B kuwafikishia mipango yao kwenda chama B.
Kama kijana mtu mzima jihadhari na siasa hatarishi maana huwa mara zote hazina mwisho mzuri.
Ni ushauli ambao unaweza kuuchukua ama kuachana nao!
Mungu ibariki Tanzania na Timu ya Yanga.
Habari zilizopo umekuwa kiunganishi baina ya wanasiasa fulani wanaotaka kuhama chama A kwenda B kuwafikishia mipango yao kwenda chama B.
Kama kijana mtu mzima jihadhari na siasa hatarishi maana huwa mara zote hazina mwisho mzuri.
Ni ushauli ambao unaweza kuuchukua ama kuachana nao!
Mungu ibariki Tanzania na Timu ya Yanga.