Eddie Murphy anatarajia kupata mtoto wa 9

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
16,515
28,504
3287CF6A00000578-3508576-image-m-63_1458857673409-559x520.jpg


Msanii wa filamu kutoka nchini Marekani, Eddie Murphy na mchumba wake, ambaye ni mwanamitindo Paige Butcher, wanatarajia kupata mtoto hivi karibuni atakayefikisha idadi ya watoto tisa wa msanii huyo.

Murphy mwenye umri wa miaka 55, ameweka wazi kupitia mtandao wa Instagram kwamba yeye na mchumba wake wa miaka mitatu wanatarajia mtoto wa kiume.

Kwa sasa Murphy ana jumla ya watoto nane ambapo wa kiume watatu na wakike watano.

Mtoto wa kwanza wa msanii hiyo ana umri wa miaka 25, anajulikana kwa jina la Bria, wengine ni Shayne (21), Zola (15), Bella (13), ambao alizaa na mpenzi wake wa zamani Nicole Murphy kabla ya kuachana 2006 baada ya kukaa miaka 22 kwenye ndoa.

Nadhani mnamkumbuka huyu jamaa kwenye movie yake iliyobamba enzi hizo ya Coming to America.
 
niulize tu hivyo vikopo wanavyoshika wakiwa wanatembea vinakuwa ni juisi au chai au mambo yetu tuliokatazwa mpaka jua lizame maana hata huyu wa kwetu naona anapendelea kushika vingine vinakuwa vyekundu msaada hapa!!!
 
3287CF6A00000578-3508576-image-m-63_1458857673409-559x520.jpg


Msanii wa filamu kutoka nchini Marekani, Eddie Murphy na mchumba wake, ambaye ni mwanamitindo Paige Butcher, wanatarajia kupata mtoto hivi karibuni atakayefikisha idadi ya watoto tisa wa msanii huyo.

Murphy mwenye umri wa miaka 55, ameweka wazi kupitia mtandao wa Instagram kwamba yeye na mchumba wake wa miaka mitatu wanatarajia mtoto wa kiume.

Kwa sasa Murphy ana jumla ya watoto nane ambapo wa kiume watatu na wakike watano.

Mtoto wa kwanza wa msanii hiyo ana umri wa miaka 25, anajulikana kwa jina la Bria, wengine ni Shayne (21), Zola (15), Bella (13), ambao alizaa na mpenzi wake wa zamani Nicole Murphy kabla ya kuachana 2006 baada ya kukaa miaka 22 kwenye ndoa.

Nadhani mnamkumbuka huyu jamaa kwenye movie yake iliyobamba enzi hizo ya Coming to America.

Umemhesabu na yule mtoto alizaa na Mel B mwimbaji wa Spice Girls.
 
Wanawake wa kizungu wakijua unahela lazima wakupe mtoto hata Kama unao wengine 22. Nakumbuka Mel B alivyofosi kumpa huyu mjomba mtoto. Sasa hivi waingereza wengi wanamsema vibaya huyu jamaa
 
3287CF6A00000578-3508576-image-m-63_1458857673409-559x520.jpg


Msanii wa filamu kutoka nchini Marekani, Eddie Murphy na mchumba wake, ambaye ni mwanamitindo Paige Butcher, wanatarajia kupata mtoto hivi karibuni atakayefikisha idadi ya watoto tisa wa msanii huyo.

Murphy mwenye umri wa miaka 55, ameweka wazi kupitia mtandao wa Instagram kwamba yeye na mchumba wake wa miaka mitatu wanatarajia mtoto wa kiume.

Kwa sasa Murphy ana jumla ya watoto nane ambapo wa kiume watatu na wakike watano.

Mtoto wa kwanza wa msanii hiyo ana umri wa miaka 25, anajulikana kwa jina la Bria, wengine ni Shayne (21), Zola (15), Bella (13), ambao alizaa na mpenzi wake wa zamani Nicole Murphy kabla ya kuachana 2006 baada ya kukaa miaka 22 kwenye ndoa.

Nadhani mnamkumbuka huyu jamaa kwenye movie yake iliyobamba enzi hizo ya Coming to America.
Daaah! Jamaa yuko vizuri kwenye hiyo idara ya kuijaza dunia
 
Anataka kuweka record flan ivi amazing ya kua na watoto wengi,ila kwakua pesa ipo sio tatizo na mda mwingi hawa jamaa wanakula bata tu bila shaka wanawaza ngono zaidi wakiwa idle!
 
Back
Top Bottom