ECOWAS yaamuru kupeleka Jeshi Niger

ECOWAS yaamuru kupeleka Jeshi Niger

Niger imewaumiza sana Wakoloni wanahaha kama mbwa aliekatwa Mkia.

Urusi itaisaidia Niger haiwezekani tuendelee kuibiwa na vibaraka hawa.

Wanatishia misada kwa miaka yote wametoa misaada ya kijinga imetusaidia nn?

Unasema unatoa dola mil 200.

Halafu kampuni zinazochukua tenda kwa mradi huo ni zao hela zote zinarudi kwao tena na kubakia kutudai stupid
Kipi kinakufanya useme Urusi ataisaida Niger ? Waafrika hatujielew kbs unatoka kwa bwana wa kwanza mweny kibamia unaenda kumkubali wa pili ukiamin atakunyandua vzr kisa amekutongoza na sio kisa umefuatilia show zake , Iman tunaitumia vby sn watu weusi
 
Acha mawazo mgando kwa iyo wewe huko radhi kuwa mtumwa kisa unataka maisha mazuri?
ebu itumie akili yako vzr , tuache kufanya maamuz kwa hisia sio mzungu wala mwarab wala mchina wala mrusi atakuletea maisha mazuri , wenzetu wanajuwa namna ya kunufaika na sis ila sisi hatujui kunufaika na wao
 
Bado sijakuelewa mkuu kabisa yani

Hilo jeshi lililonpindua nchi husika(Niger) ni jeshi alamu au ni jeshi la wananchi? mpaka nalo livamiwe na jeshi la kikanda (ECOWAS )
Kwan zip njia za kumpata kiongoz mkuu wa kiutawala wa nchi , hujui kipi kinawafanya wasiwe halal
 
Unaunga mkono kwakua ww ni mtanganyika watakao teseka ni wa Niger uko kuna watoto,wamama na wazee.
Sawa kazi ianze kukuche jumapili bukinabe na mali ndio wanaanza safari ya kwenda kuilinda Niger na watu wake.
Utawala wa kiraia unajuwa maana yake?
 
Aaaha sawa! Sasa kama Jesh likiona uongozi wa kiraia hauwanufaishi raia na raia kutwa wanalalamikia huo uongozi wa kiraia, kutakuwa na hualamau wowote jeshi kuipundua serikali ya kirai,maana moyo wawanajeshi ni kuwalinda Rai
Kaz ya jeshi ni kuingiza na kutoa madarakan viongoz wa kiraia ? AMKA MKUU HATUUNGI MKONO RAIS ALIYEPITA ILA HUYU WA SASA KWANN ASIRUDISHE MADARAKA KWA RAIA , UKIFIKA MUDA UTASHIRIKI NASI KUMLALAMIKIA
 
Nchi za Africa tutatumiwa sana Kwa faida za watu wa ulaya,! ECOWAS Ni njia inayotumiwa ili waendelee kutetea uraji wa ufaransa, yaani tunapiganishwa wenyewe Kwa wenyewe! Harafu mtu mweusi anafurahia kabisa
Tuliza akili uelew nin kinaendelea acha story za urusi na ukraine
 
Raia ni wagumu sana kufanya maamuzi ya kumfurusha raisi kwasababu Huwa wanaliogopa jeshi ambalo linamiliki silaha na ambalo linaonekana kuwatii viongozi.

Ila kama raia wamebariki mapinduzi yanini Sasa ECOWAS kutaka kupeleka jeshi. Kitu kinachoonekana sio Cha busara sana ni jeshi la Niger kukataa mazungumzo ila pia huwenda wanaijua ECOWAS vizuri kuliko sisi na ndo maana hawataki mazungumzo nao.

Kama raia wamebariki jeshi kupindua utawala ambao ulikua unaonekana kama mti mkavu kwao basi Mungu AWABARIKI wafanye taratibu zao vizuri waweke utawala WA kiraia ambao unajua raia wanataka Nini na Jeshi lirudi mahala pake huku moyo wao ukiwa juu ya kuwalinda zaidi raia
Unaezaj kujua maoni ya zaid ya raia million 25?
 
Unafikiri kazi ya jeshi ni kulinda tu CCM isitoke madarakani wewe kunguni wa Lumumba. Mtu ukiwa CCM lazima usiwe na akili jinga hili
Mkuu amka siasa za bongo ni za kukariri sana kwamba kama ni Nyekundu bas kote ni nyekundu , SIIPEND CCMU ILA KUONGOZWA NA JESHI NI HTR SANA TULIZA AKILI UJUE HOJA ZA WAKOSOAJI WA UTAWALA WA KIJESHI , HAO WANAJESHI WAITISHE UCHAGUZ UONGOZ URUDI KWA RAIA
 
Pale Syria palichimbika bila bereshi,vumbi lililotimka pale si la kuhadithia.

Ka ECOWAS haka Nako,,,
Tumia akili mpk ww ujue yote hayo basi wenzio wanajua mengi zaid ya hayo
 
Mkuu amka siasa za bongo ni za kukariri sana kwamba kama ni Nyekundu bas kote ni nyekundu , SIIPEND CCMU ILA KUONGOZWA NA JESHI NI HTR SANA TULIZA AKILI UJUE HOJA ZA WAKOSOAJI WA UTAWALA WA KIJESHI , HAO WANAJESHI WAITISHE UCHAGUZ UONGOZ URUDI KWA RAIA
Unafikiri CCM utaiondoa kwa sanduku la kura ? Wewe ndie utulize kichwa.
 
Fuatilia madai ya ECOWAS , nyiny ndo mnafanya tunaitwa nyani , kila kitu unawawaza wazungu
 
Wanamapinduzi wamesema watamchinja huyo rais waliyempindua kama ECOWAS watapeleka jeshi Niger.
Italy keshamuonya Ufaransa aache kuwashwa washwa ya Niger awaachie wenyewe.
Wagner Group wamesema wapo tayari kuwasaidia Wana mapinduzi.
Busara tu itumike kuepuka makubwa zaidi
 
Wanamapinduzi wamesema watamchinja huyo rais waliyempindua kama ECOWAS watapeleka jeshi Niger.
Italy keshamuonya Ufaransa aache kuwashwa washwa ya Niger awaachie wenyewe.
Wagner Group wamesema wapo tayari kuwasaidia Wana mapinduzi.
Busara tu itumike kuepuka makubwa zaidi
Wamchinje tu liwe fundisho
 
Nigeria ndie anawadrive ECOWAS kisa kapata Dili la uwekaji Bomba la gas toka Nigeria kupitia Niger kwenda ulaya, baada ya Mrusi kuwakatia gas mashoga,pia ili kufika Nigeria kwa wepesi na gharama nafuu za ndege ni lazima upite anga la Niger.
Pia mfaransa anataka uranium ya Niger
 
Back
Top Bottom