ECOWAS yaamuru kupeleka Jeshi Niger

ECOWAS yaamuru kupeleka Jeshi Niger

Waoga... walitoa deadline last week mpaka leo kimya. Na saizi tunasubiri, lakini nataka nikuhakikishie kua ECOWAS hawatoingia kujeshi pale Niger.

Nyakati zinabadilika, this time around wanapigana wakubwa kwenye ardhi za nchi nyingine. Kama mnafikiri ni vita ya kwenda kuichapa tu Niger kirahisi, mtakua mnajidanganya.

Nigeria ndio wawe makini, wana ishu za boko haramu, ukabila na udini... nchi yao ni kama imemwagiwa petroli na wao wanachezea kiberiti.

Narudia tena wakubwa wanavuana nguo, hii ni vita ya kiuchumi, Russia hatakubali west wapate alternative ya nishati ya bei rahisi, Russia analitaka soko la ulaya waendelee kua tegemezi kwake, ukichanganya na geographical position waliyonayo, rasilimali na nguvu za kijeshi basi huo usupa pawa anauhitaji kwa udi na uvumba. Tusubiri tuone.
 
Waoga... walitoa deadline last week mpaka leo kimya. Na saizi tunasubiri, lakini nataka nikuhakikishie kua ECOWAS hawatoingia kujeshi pale Niger.

Nyakati zinabadilika, this time around wanapigana wakubwa kwenye ardhi za nchi nyingine. Kama mnafikiri ni vita ya kwenda kuichapa tu Niger kirahisi, mtakua mnajidanganya.

Nigeria ndio wawe makini, wana ishu za boko haramu, ukabila na udini... nchi yao ni kama imemwagiwa petroli na wao wanachezea kiberiti.

Narudia tena wakubwa wanavuana nguo, hii ni vita ya kiuchumi, Russia hatakubali west wapate alternative ya nishati ya bei rahisi, Russia analitaka soko la ulaya waendelee kua tegemezi kwake, ukichanganya na geographical position waliyonayo, rasilimali na nguvu za kijeshi basi huo usupa pawa anauhitaji kwa udi na uvumba. Tusubiri tuone.
Umejaza mavi kichwani kale dagaa kisha nyanduana tu huna akili za kufanya analysis....

Au kashinde kwenye thread za kondegang na ushenzi mwingine.
 
Umejaza mavi kichwani kale dagaa kisha nyanduana tu huna akili za kufanya analysis....

Au kashinde kwenye thread za kondegang na ushenzi mwingine.
Hahaaha unawaza mavi? Hahaha nimecheka walahi... anyway kasarika, lia, tukana... lakini huo ndio ukweli... nyakati zimebadilika sana.. wakubwa wanavuana nguo, soon or later utaona nnachokuambia, hongera nimekujibu hii bahati hutoipata tena.
 
Nchi za Africa tutatumiwa sana Kwa faida za watu wa ulaya,! ECOWAS Ni njia inayotumiwa ili waendelee kutetea uraji wa ufaransa, yaani tunapiganishwa wenyewe Kwa wenyewe! Harafu mtu mweusi anafurahia kabisa
Well spoken wengi tunaishia kulaumu mapinduzi bila kuangalia chanzo n nn. Mfaransa kapoteza ulaji wake ndio maana anailazimisha ECOWAS kupeleka jeshi la waafrika kwenda kuwapiga waafrika wenzao kwa manufaa yao
 
Ilikuwa ni rahisi sana kuzuia operation ya ECOWAS. Kwanza wanamapinduzi wangekaa nao kwenye mazungumzo kisha wakahakikisha kwamba wataitisha uchaguzi mkuu mapema, wangetoa sababu za kumuondoa Rais madarakani.

Hapo uchaguzi huru na haki ungeitishwa na hakuna ECOWAS wala AU ingelalamika, wangevamia hapo tungesema wanaleta fujo wao.
Sasa hao wanamapinduzi wanagoma kufanya mazungumzo na jumuiya ya kikanda na wamemteka Rais eti watamuua ECOWAS ikiingia. Sasa unategemea nini kwa serikali inayoteka Rais mstaafu, hilo si kama kundi la kigaidi.
Wale wavaa gloves muda wote wanapungukiwa na busara hata wakiachwa hawafiki popote kwenye utawala.

Sababu Rais katekwa, Waziri wa Ndani na mshauri mkuu wa Rais wameunda kundi la uasi. Na kuna wafuasi wa serikali iliyopita humohumo jeshini na nchini. Hata Rais awe mbovu vipi huwa ana wafuasi wake sasa mambo ya kutishia kumuua inaonekana hawa ni wahuni tu
Waliopindua nchi ni jeshi la wananchi wa Niger
Wao Nigerians ndio wanahaki yakuamua hatma ya Nchi yao sio ECOWAS
 
Hawa viongozi wanaokua vibaraka wa mataifa ya magharibi ni tatizo sana! Acha wapinduane vizuri ipo siku ile nchi ambayo ina kibaraka wa mataifa ya kiarabu anasaini mikataba kama kichaaa kitamkuta jambo
Ni ndoto nzuri ya kuipeleka kitandani
 
Well spoken wengi tunaishia kulaumu mapinduzi bila kuangalia chanzo n nn. Mfaransa kapoteza ulaji wake ndio maana anailazimisha ECOWAS kupeleka jeshi la waafrika kwenda kuwapiga waafrika wenzao kwa manufaa yao
Saa nyingine tuna ujinga mwingi sana. ECOWAS wameingia kwenye mission zaidi ya mara 4 kuwaondoa viongozi walioingia msdarakani kwa nguvu, mbona wakati huo tusilaumu wazungu? ECOWAS walizembea kwenye mapinduzi ya Mali na Burkinafaso, hata hivyo mapinduzi ya kijeshi kwenye huu ukanda hayawezi kufumbiwa macho. Marais wa nchi za ukanda huu wasipokubali kuingiza jeshi vitani kuwaondoa hawa wahuni, basi wajue nao zamu yao ya kupinduliwa inakaribia.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Viongozi wa ECOWAS Wametoa amri ya kupelekwa Jeshi Ili wakawanyoe Waliofanya Mapinduzi huko Niger na kurejesha Serikali ya Kiraia.
---

Viongozi wa Jumuiya ya Uchumi wa Afrika Magharibi (ECOWAS) wameamuru kuanzishwa kwa mpango wa kupeleka jeshi katika kuhakikisha kuurejesha utawala wa kidemokrasia na Rais Bazoum aliyepinduliwa na jeshi Julai 26.

Uamuzi huo umeelezewa katika maazimio yaliyofikiwa Alhamisi baada ya majadiliano ya viongozi wa ECOWAS juu ya hali ya kisiasa nchini Niger katika mkutano wao wa pili. Viongozi hao walikutana mjini Abuja, Nigeria.

Mwanzoni mwa mkutano huo viongozi hao walielezea umuhimu wa kutatua suala la mapinduzi nchini Niger, viongozi hao walitoa onyo kali na kukemea mapinduzi au mabadiliko ya serikali kinyume na katiba, waliazimia kuhakikisha kuwa mapinduzi hayaruhusiwi tena Afrika Magharibi.

Akiwasilisha taarifa ya mkutano huo Rais wa tume ya ECOWAS Omar Toure aliwaambia waandishi wa habari kwamba viongozi hao hawakufurahishwa na majibu ya utawala wa kijeshi huko Niger kukataa kukutana na wajumbe wa ECOWAS waliotumwa kuzungumza nao kuhusu hatua za kuchukuliwa ili suluhu ipatikane kwa ajili ya nchi hiyo.

Omar Toure anasema viongozi hao wameamuru kutekelezwa kwa maazimio ya mkutano uliofanyika Abuja Julai 30 pamoja na uamuzi wa matumizi ya nguvu kurejesha demokrasia katika Jamhuri ya Niger.

Toure anasema viongozi wa ECOWAS wameamuru Kikosi cha Usalama cha ECOWAS kupeleka wanajeshi nchini Niger kurejesha utaratibu wa kikatiba huko jamhuri ya Niger.

Hivi sasa inaelezewa kuwa Rais Bazoum amekubali kujiuzulu na kupisha nguvu ya jeshi.

Hali ya kisiasa nchini Niger imeongeza hofu kuhusu ukosefu wa usalama katika eneo la kaskazini mwa Nigeria na watu wanaoishi maeneo ya mpakani wameanza kuhama kuelekea kusini mwa nchi kwa ajili ya uwezekano wa kushambuliwa na magaidi.

Wachambuzi wanasema uwezekano wa kuingilia kati kijeshi unaweza kuiumiza pia Nigeria kwa namna fulani.

Waziri zamani wa mambo ya nje wa Nigeria pia mtaalamu wa uhusiano wa kimataifa, Profesa Nurudeen Mohammed anasema siku hizi ECOWAS haina nguvu au uwezo kama zamani kwa hivyo viongozi wa kijeshi wa jamhuri ya Niger waliweza kukataa kuwaona wajumbe waliotumwa na ECOWAS kuzungumza nao.

Mkutano wa Alhamisi mjini Abuja ni wa pili kwa viongozi wa Afrika Magharibi katika jitihada zao za kutatua tatizo la kisiasa ambalo limesababishwa na kupinduliwa kwa serikali ya kiraia huko jamhuri ya Niger.

Na uamuzi wa kupeleka vikosi vya jeshi la ECOWAS huko Niamey kurejesha demokrasia na utawala wa kikatiba kunaweza kuwa na mapambano ya muda mrefu ya kuchukua madaraka ambayo hakuna anayejua yataisha lini

My Take
Naunga mkono hoja, wakashikishwe adabu Ili mambo ya kipuuzi yakome mara Moja Africa.
Hayo majeshi yataingilia wapi. Mjeda Niger kashafunga anga lake. Ingia at your own risk
 
Saa nyingine tuna ujinga mwingi sana. ECOWAS wameingia kwenye mission zaidi ya mara 4 kuwaondoa viongozi walioingia msdarakani kwa nguvu, mbona wakati huo tusilaumu wazungu? ECOWAS walizembea kwenye mapinduzi ya Mali na Burkinafaso, hata hivyo mapinduzi ya kijeshi kwenye huu ukanda hayawezi kufumbiwa macho. Marais wa nchi za ukanda huu wasipokubali kuingiza jeshi vitani kuwaondoa hawa wahuni, basi wajue nao zamu yao ya kupinduliwa inakaribia.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Katika hizo mission ngapi walifanikiwa hao wanaoitwa ECOWAS?
 
Saa nyingine tuna ujinga mwingi sana. ECOWAS wameingia kwenye mission zaidi ya mara 4 kuwaondoa viongozi walioingia msdarakani kwa nguvu, mbona wakati huo tusilaumu wazungu? ECOWAS walizembea kwenye mapinduzi ya Mali na Burkinafaso, hata hivyo mapinduzi ya kijeshi kwenye huu ukanda hayawezi kufumbiwa macho. Marais wa nchi za ukanda huu wasipokubali kuingiza jeshi vitani kuwaondoa hawa wahuni, basi wajue nao zamu yao ya kupinduliwa inakaribia.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kuna njia moja tu kuepusha mapinduzi,ni hao viongozi kuwa wazalendo kwa nchi zao na kuacha kuwa vibaraka wa mataifa mengine yaliyoendelea!
Huko Niger,wananchi wanasupport mapinduzi!Sasa hao ECOWAS ni nani mpaka wawe kinyume na matakwa ya wananchi?
Myanmar huko jeshi lilimpindua Rais na limemsweka jela toka 2021!Mapinduzi hayo hayajaungwa mkono na raia na raia wanauwawa!US na vibaraka wao si waende huko kuvamia kijeshi?Why Niger?Wanaangalia maslahi yao!
Ona hapa rais wa France anasema nini juu ya maslahi yake Niger!

French President Emmanuel Macron said France will respond “immediately” to any violence against French interests in Niger following the coup in the African country.

The French government “will not tolerate any attack on France and its interests” in Niger, Macron said on Sunday, according to media reports.

Macron’s comments were in response to thousands of people demonstrating in front of the French embassy in Niamey, the capital of Niger. According to media reports, the crowds in front of the French embassy were shouting “Long live Putin” and “Down with France.”
 
Hawa viongozi wanaokua vibaraka wa mataifa ya magharibi ni tatizo sana! Acha wapinduane vizuri ipo siku ile nchi ambayo ina kibaraka wa mataifa ya kiarabu anasaini mikataba kama kichaaa kitamkuta jambo
Hahahaaaa
 
Back
Top Bottom