Ngoja yakashishikiswe adabu haya mavijana yenye mihemko! ..,eti yanakataa katakata
kuzungumza na wajumbe kutoka ECOWAS.
Wanakataa wajumbe kutoka EU.., Africa union,USA, na kwingineko kuzungumza na viongozi wa kijeshi
Hii ilionyesha kwamba hawana hata chembe ya hekima Bali ni hayawani kama wanyama wa porini tu
Putin pamoja kichaa chake chote hakuwahi kukataa kupokea ujumbe wowote,japo na yeye Huwa anaonyesha kibri kwa kuwawekea meza ndefeefu
Lakini Hawa jamaa hawakutaka kuweka hata meza ndefu
Unajiuliza watu Hawa wataiongoza serikali ya namna gani,
Sent from my Infinix X660B using
JamiiForums mobile app