Katika hyo listi nani atamfunga paka kengele,maana wote wanamadudu yanayoshabihiana ukienda kwa nkuruzinza majanga,kagame ndo mafia mkuu museven naye walewale,kabila ndo lahaulaa,shein hana afadhali raisi wa magumashi,salva kir tiamaji tiamaji,kenyata the goon himself,magufuli (no comment).sasa hapo nani atakayemshupalia mwenzie