Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Kabla hamjaja na kuleta habari za mfu please bear the details. The man is dead and as a nation we have to move on. Enzi zake the world was a different place kulinganisha na sasa. So mwacheni apumzike.
Mengi yashazungumzwa kuhusu Cost benefit analysis ya balozi zetu za nje including baadhi ya mabalozi kuonekana kama vile ni wakorofi kwa sababu wamepishana kimawazo na wakuu Dar.
Sioni sababu kwa nini mtu kama Mengi au Bakhressa wakawa bado wanachechemea (in terms of Global scales) wakati tumezungukwa na countless landlocked countries. Sioni kwa nini mtu kama Mohammed Enterprises au OIL COM au hata yule bosi wa SCANDINAVIA na PEACOCK wasipewe vipaumbele kwa kusaidiwa na balozi zetu za nje kupitia vitengo kama TANZA TRADE ili kunyanyua viwanda vyetu vya ndani na kuuza nje pia
sababu nasema hivi soma hapa:
http://www.nytimes.com/2011/01/03/business/03wikileaks-boeing.html?_r=1
lakini inawezekana ikawa kazi zinafanyika ila ninachokisema ni kuwa kama MEMBE na Mandarins wake wako serious waweke DATA openly ili tuzichambue ina tunataka kujua vitu kama vile:
UBALOZI
NUMBER OF STAFF
BUDGET
EXPENDITURE
REPORT ZA WAKAGUZI
WHY WE SHOULD HAVE THE EMBASSY IN THAT PARTICULAR COUNTRY
MWISHO NA MUHIMU ZAIDI ZILE PERFORMANCE EVALUATION BAADA YA MKUTANO KATI YA RAIS NA MABALOZI SERENGETI ZIKO WAPI?
I think people deserve to know THESE THINGS and they will
I dont think kuattend trade fairs na kufungua matawi ya vyama na associations in what we Tax payers need...someni link hiyo hapo juu
Mengi yashazungumzwa kuhusu Cost benefit analysis ya balozi zetu za nje including baadhi ya mabalozi kuonekana kama vile ni wakorofi kwa sababu wamepishana kimawazo na wakuu Dar.
Sioni sababu kwa nini mtu kama Mengi au Bakhressa wakawa bado wanachechemea (in terms of Global scales) wakati tumezungukwa na countless landlocked countries. Sioni kwa nini mtu kama Mohammed Enterprises au OIL COM au hata yule bosi wa SCANDINAVIA na PEACOCK wasipewe vipaumbele kwa kusaidiwa na balozi zetu za nje kupitia vitengo kama TANZA TRADE ili kunyanyua viwanda vyetu vya ndani na kuuza nje pia
sababu nasema hivi soma hapa:
http://www.nytimes.com/2011/01/03/business/03wikileaks-boeing.html?_r=1
lakini inawezekana ikawa kazi zinafanyika ila ninachokisema ni kuwa kama MEMBE na Mandarins wake wako serious waweke DATA openly ili tuzichambue ina tunataka kujua vitu kama vile:
UBALOZI
NUMBER OF STAFF
BUDGET
EXPENDITURE
REPORT ZA WAKAGUZI
WHY WE SHOULD HAVE THE EMBASSY IN THAT PARTICULAR COUNTRY
MWISHO NA MUHIMU ZAIDI ZILE PERFORMANCE EVALUATION BAADA YA MKUTANO KATI YA RAIS NA MABALOZI SERENGETI ZIKO WAPI?
I think people deserve to know THESE THINGS and they will
I dont think kuattend trade fairs na kufungua matawi ya vyama na associations in what we Tax payers need...someni link hiyo hapo juu