ebu ona wake za watu wanavyokosa mambo!!

ebu ona wake za watu wanavyokosa mambo!!

mkonowapaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2010
Posts
1,492
Reaction score
771
WANAUME kwenye Semina Wakaulizwa! Mara Ya Mwisho kumwambia Mkeo UNAMPENDA Ni Lini? Wengi Wakasema Leo Asubuhi. MWEZESHAJI Akawaambia Kila Mtu Sasa Hv Amwandikie Mkewe Msg Amwambie "NAKUPENDA MKE WANGU" Halafu Badilishaneni Simu kila Mmoja Asome Majibu Ya Mwenzake!. MAJIBU:-
1. Unaota Au?
2. Umekumbwa Na Nini?
3. ???!!!!
4. Utanieleza Hii Sms Ulikuwa Unatuma Kwa Nani?
5. Leo Sikusamehi kuna Jambo Tu.
6. Huyo Uliye Nae Ndo Kakwambia Unitumie Hii Sms?
7.Sema Unachotaka.
8.Leo Hunipati Ng'o!
9. Nani mwenzangu??
 
Nimeipenda hii ya mwisho, nani mwenzangu. Maana supplies zingine huwezi jua huenda mkeo kaibiwa simu wewe unakimbilia kuonesha hasira
 
wote wambea tu! mi ninavyoelewa kama unavyompenda unampenda tu hata usipomwambia kwa mdomo unaweza ukamwambia kwa vitendo na akakuelewa tu haya mamb0 ya mkeo unae miaka 20 eti bado atake kuambiwa nakupenda kila asubuhi, kwa kweli kiuhalisia haileti maana. tuwe wakweli ukiwa mke na mume kadri miaka inavyoenda kuna baadhi ya vitu vinakwisha tu
 
wote wambea tu! mi ninavyoelewa kama unavyompenda unampenda tu hata usipomwambia kwa mdomo unaweza ukamwambia kwa vitendo na akakuelewa tu haya mamb0 ya mkeo unae miaka 20 eti bado atake kuambiwa nakupenda kila asubuhi, kwa kweli kiuhalisia haileti maana. tuwe wakweli ukiwa mke na mume kadri miaka inavyoenda kuna baadhi ya vitu vinakwisha tu
Kuishi kwenye ndoa miaka mingi sio sababu. Mwambie tu unampenda, tena ukitaka anza sasa. Lkn usimwambie kwa utani jaribu kumwambia toka moyoni. hivi ni nani asiyependa kuambiwa nakupenda, naamini hakuna. Maisha ya ndoa yanabidi yaboreshwe kila siku . Nakumbuka kipindi fulani nilikua nashughulika na wanandoa hasa ktk kuboresha mahusiano wengi walisema wangependa kuonyeshwa upendo kwa neno na kwa vitendo pia. Hili neno nakupenda huwa halichuji bwana hasa unapoambiwa na mwenzi wako inaleta furaha sana.
 
WANAUME kwenye Semina Wakaulizwa! Mara Ya Mwisho kumwambia Mkeo UNAMPENDA Ni Lini? Wengi Wakasema Leo Asubuhi. MWEZESHAJI Akawaambia Kila Mtu Sasa Hv Amwandikie Mkewe Msg Amwambie "NAKUPENDA MKE WANGU" Halafu Badilishaneni Simu kila Mmoja Asome Majibu Ya Mwenzake!. MAJIBU:-
1. Unaota Au?
2. Umekumbwa Na Nini?
3. ???!!!!
4. Utanieleza Hii Sms Ulikuwa Unatuma Kwa Nani?
5. Leo Sikusamehi kuna Jambo Tu.
6. Huyo Uliye Nae Ndo Kakwambia Unitumie Hii Sms?
7.Sema Unachotaka.
8.Leo Hunipati Ng'o!
9. Nani mwenzangu??
huyu kesha-assume kwamba ni foreplay ya kuombwa naniliu usiku/
 
Nilidhani hii thread ni uzushi; lakini watu wameanza kutoa evidence humu humu kuwa wanaona midomo mizito kutamka neno dogo kama 'Nakupenda'

Kwa nini wanandoa wasichiti kwa mtindo huu...kwa nini wasibabaike wakisikia neno hilo kwa wakware???

Kuishi kwenye ndoa miaka mingi sio sababu. Mwambie tu unampenda, tena ukitaka anza sasa. Lkn usimwambie kwa utani jaribu kumwambia toka moyoni. hivi ni nani asiyependa kuambiwa nakupenda, naamini hakuna. Maisha ya ndoa yanabidi yaboreshwe kila siku . Nakumbuka kipindi fulani nilikua nashughulika na wanandoa hasa ktk kuboresha mahusiano wengi walisema wangependa kuonyeshwa upendo kwa neno na kwa vitendo pia. Hili neno nakupenda huwa halichuji bwana hasa unapoambiwa na mwenzi wako inaleta furaha sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom