Hivi hapa kuna ukweli kuhusu ndoa zetu

Madihani

JF-Expert Member
Apr 30, 2015
5,972
6,605
Nimecopy na kupaste.

Wanaume walikuwa kwenye semina wakaulizwa,mara ya mwisho kumwambia mkeo unampenda ni lin? Wengine wakasema leo asubuh,wengine muda sio mrefu.Muwezeshaji akawaambia kila mmoja sasa hv amuandikie mkewe sms amwambie nakupenda mke wangu halafu badilishaneni simu kila mmoja asome majibu ya mwenzake.Majibu yalikuwa hiv:

1. Unaota au?

2. Umekumbwa na nn?

3. ??!! Makubwa!

4. Utanieleza hii sms ulikuwa unamtumia nani

5. Leo sikusamehi najua kuna kitu.

6. Huyo ulienae ndo kakwambia unitumie hii sms?

7. Najua tu tayari kuna kitu umeharibu.

8. Wewe sema unachotaka.

9. Leo hunipati ng'o!

10. Nani mwenzangu

Mwanamke yupi alitisha hapo?
 
Duuh...hii thread imenichekesha na kunifanya nitafakari hizi ndoa.

Ila sidhani kama kwa wazungu haya yapo
 
No 10 balaa
Baadhi ya kauli mtu akitaja badala ya kujibu lazna utauliza tu what's wrong wt u leo..haha
 
Nimecopy na kupaste.

Wanaume walikuwa kwenye semina wakaulizwa,mara ya mwisho kumwambia mkeo unampenda ni lin? Wengine wakasema leo asubuh,wengine muda sio mrefu.Muwezeshaji akawaambia kila mmoja sasa hv amuandikie mkewe sms amwambie nakupenda mke wangu halafu badilishaneni simu kila mmoja asome majibu ya mwenzake.Majibu yalikuwa hiv:

1. Unaota au?

2. Umekumbwa na nn?

3. ??!! Makubwa!

4. Utanieleza hii sms ulikuwa unamtumia nani

5. Leo sikusamehi najua kuna kitu.

6. Huyo ulienae ndo kakwambia unitumie hii sms?

7. Najua tu tayari kuna kitu umeharibu.

8. Wewe sema unachotaka.

9. Leo hunipati ng'o!

10. Nani mwenzangu

Mwanamke yupi alitisha hapo?
Ahaahahhaaa mapenzi ya raha sana na karaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom