strong ruler JF-Expert Member Nov 2, 2013 4,921 3,300 Mar 4, 2016 #10 Sio kuitumia tu mpaka sasa ninayo mfukoni mwangu
M massaiboi JF-Expert Member Jan 4, 2016 1,359 2,038 Mar 4, 2016 #13 Tulikuwa tunaita "punch", "gwara"
Renegade JF-Expert Member Mar 18, 2009 7,126 6,764 Mar 4, 2016 #15 Da! Gwala hilo!! We acha tu ,siku moja nilikula kichapo kwa kusogeza gwala home. Nilikuwa natumwa sukari dukani na chennji inabaki.
Da! Gwala hilo!! We acha tu ,siku moja nilikula kichapo kwa kusogeza gwala home. Nilikuwa natumwa sukari dukani na chennji inabaki.
S SURUMA JF-Expert Member Mar 22, 2011 2,892 1,064 Mar 4, 2016 #17 Muwa mzima maeneo ya KILOSA miaka hiyo
42_007 JF-Expert Member Mar 10, 2015 1,561 824 Mar 4, 2016 #19 Nokia83 said: Gudigudi Click to expand... Mwana we mwenyeji wa mkoa gani...maana hiyo gudigudi ndo ilikua ugonjwa wangu..
Nokia83 said: Gudigudi Click to expand... Mwana we mwenyeji wa mkoa gani...maana hiyo gudigudi ndo ilikua ugonjwa wangu..