Jagermaster
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 654
- 316
Mimi naona hapo Mamvi kimoyomoyo anasema.. Kijana nitakunasa vibao mimi, shukuru tupo katika hii kadamnasi. Harafu Sumaye naona kama anacheka vile. Serukamba kwa nyuma anazomea ..mmmmmmmh Mnafiki huyo. Wadau ebu leta maneno kwenye picha hii