msindikizaji
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,763
- 2,891
Labda mwanafamilia wake yakimpata haya ataombwa urudishwe.Wauhamishie kwenye jukwaa la mapenzi sivyo?
BAK, Mataga hawataki kuambiwa ukweli, Nchi iko hatarini na hamna hatua za tahadhari zilizo chukuliwa, wala elimu ya kujikinga inayotolewa
Nani kakwambia Ebola inakuja na gari?Haipo. Tena tueendelee kudhibiti mipaka isiingie. Ebola ni hatari sana.
Hujanielewa. Ebola inakuja kama mtu mwenye Ebola akiingia TZ.Hivyo ni muhimu kudhibiti mipaka ya Congo DRC Tanzania.Nani kakwambia Ebola inakuja na gari?
Kuna panya roads ngapi mipakani ambazo serikali iimeshindwa kudhibiti watu kuingia nchini?Hujanielewa. Ebola inakuja kama mtu mwenye Ebola akiingia TZ.Hivyo ni muhimu kudhibiti mipaka ya Congo DRC Tanzania.
Hujanielewa. Ebola inakuja kama mtu mwenye Ebola akiingia TZ.Hivyo ni muhimu kudhibiti mipaka ya Congo DRC Tanzania.
Naomba nikushauri tulia Ndugu....wizara yako na wanasiasa hii ngoma hawaiwezi....wenye akili tumeshausoma mchezo siku nyingi....narudia kusema Mwenyezi Mungu utusaidieModerators taarifa zingine vizuri tuzipate kupitia wizara ya afya.Sio vizuri kugeuza maswala mazito.kama haya kuyatumia kisiasa au kuyafanya public before taarifa official.Moderators ondoeni huu uzi
Makamongo ndivyo walivyo Mkuu. WHO wametuma taarifa Serikalini kuulizia kama habari hii ni kweli au uongo. Kitaratibu Serikali ilitakiwa iwajibu WHO within 24 hours and it is now more than 24 na hii Serikali inajulikana kwa kuficha ukweli mbali mbali nchini ikiwemo magonjwa. Kumbuka lile sakata la binti Malecela.
Kinachonishinda kuelewa Ni kwa nini team CCM, Magu praise team wako very against hizi taarifa kuwafikia wananchi?@modrator Paw na wahusika mnatakiwa kulinda hili jukwaa kwa kuto ruhusu huu ujinga
Hivi kuna Mtanzania na akili yake kabisa anaweza kwenda congo east kwenye maambukizi?Mtanzania aliyekwenda Kongo kisha akaja rwanda kisha akaenda Uganda akaingia Kenya na kurudi Tanzania utamdhibiti asirudi nyumbani?
π π π πNani kakwambia Ebola inakuja na gari?
Seriously unamuamini Waziri Ummy Mwalimu?Leo Mh Waziri wa Afya katoa taarifa ya serikali kwamba hakuna huo ugonjwa hapa nchini lakini naona makala ya hao jamaa inaonyesha kana kwamba serikali haijasema chochote. Waambie kwamba Serikali kupitia kwa Mh Ummy Mwalimu, Waziri wa Afya, amekanusa kuwepo kwa ugonjwa huo; sasa wanataka nini?
Inasemekana kwa dsm hii kitu ipo.wananchi tujihadhari.Mungu atulinde