donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,129
Uliagiza mzigo gani kaka?Habari wakuu,
Natumai mu wazima. Kwanza nitoe shukrani zangu za dhati kwa mkuu chief mkwawa kwa ule uzi wake kuhusu how to activate PayPal account. Kwa mimi nilishajiunga paypal kitambo simce 2012 na ever since nimekua nikifanya online transactions marakwa mara. Wengi huogopa kwa kuhisi wanaweza tapeliwa ila this is my testimony na mzigo huu nimeupokea leo, nlinunua EBay.View attachment 570121View attachment 570122View attachment 570123View attachment 570124
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Mimi naomba kujua kuhusu myus na kama kodi walikutoza ama laaahHabari wakuu,
Natumai mu wazima. Kwanza nitoe shukrani zangu za dhati kwa mkuu chief mkwawa kwa ule uzi wake kuhusu how to activate PayPal account. Kwa mimi nilishajiunga paypal kitambo simce 2012 na ever since nimekua nikifanya online transactions marakwa mara. Wengi huogopa kwa kuhisi wanaweza tapeliwa ila this is my testimony na mzigo huu nimeupokea leo, nlinunua EBay.View attachment 570121View attachment 570122View attachment 570123View attachment 570124
Sent using Jamii Forums mobile app
Haswaaa...Weka updates kidogo.
Imechukua siku ngapi
Umetumia njia gani kusafirisha(free/kampuni za usafirishaji?)
Umepikelea posta au nyumbani kwako n. K n. K
No taxes mkuuUliagiza nn? Na vp kodi umetozwa? Maana mie niliambiwa kuwa ukiagiza vitu nje ya nchi unatozwa kodi kubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, ilitumia three weeks kutoka United States mpaka hapa kunifikia. Nimetumia Fedex mkuu, nilijiunga pia na coy ya myus.com ambapo wanakupatia US physical adress,hii inasaidia incase ukiingia ebay ukakutana na sellers ambao hawaship mzigo kwenda kwenye nchi yako.Weka updates kidogo.
Imechukua siku ngapi
Umetumia njia gani kusafirisha(free/kampuni za usafirishaji?)
Umepikelea posta au nyumbani kwako n. K n. K
Sijatozwa kodi yeyote mkuu apart from shipping costs ambazo nililipa online. Na mzigo nimeletewa mpaka sehemu nilipoMkuu Mimi naomba kujua kuhusu myus na kama kodi walikutoza ama laaah
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok mkuu, ni hivi,Mkuu donlucchese
Kuhusu kutumia 'fedex na myus.com', please fafanua kidogo mkuu;
ni kwamba unanunua mzigo wako online alafu hao online retailers (either wa ebay au wengine) ndio wanatuma mzigo wako huko 'myUS', alafu 'myUS' ndio wanautuma huku tanzania kwa kutumia kampuni ya fedex?
Na kuhusu mambo ya ushuru/kodi, je, kodi inawekwa pamoja na postage charges? Au ni kwamba hakuna kodi kabisa? Unanunua mzigo tu na kulipia postage basi, alafu unatumwa tanzania?
Je, kuna resentative wa fedex US hapa bongo? Ndio wanaokuletea mzigo mpaka nyumbani?
Kodi hakuna mkuuMkuu donlucchese
Kuhusu kutumia 'fedex na myus.com', please fafanua kidogo mkuu;
ni kwamba unanunua mzigo wako online alafu hao online retailers (either wa ebay au wengine) ndio wanatuma mzigo wako huko 'myUS', alafu 'myUS' ndio wanautuma huku tanzania kwa kutumia kampuni ya fedex?
Na kuhusu mambo ya ushuru/kodi, je, kodi inawekwa pamoja na postage charges? Au ni kwamba hakuna kodi kabisa? Unanunua mzigo tu na kulipia postage basi, alafu unatumwa tanzania?
Je, kuna resentative wa fedex US hapa bongo? Ndio wanaokuletea mzigo mpaka nyumbani?
Reps wa fedex wapo mkuuMkuu donlucchese
Kuhusu kutumia 'fedex na myus.com', please fafanua kidogo mkuu;
ni kwamba unanunua mzigo wako online alafu hao online retailers (either wa ebay au wengine) ndio wanatuma mzigo wako huko 'myUS', alafu 'myUS' ndio wanautuma huku tanzania kwa kutumia kampuni ya fedex?
Na kuhusu mambo ya ushuru/kodi, je, kodi inawekwa pamoja na postage charges? Au ni kwamba hakuna kodi kabisa? Unanunua mzigo tu na kulipia postage basi, alafu unatumwa tanzania?
Je, kuna resentative wa fedex US hapa bongo? Ndio wanaokuletea mzigo mpaka nyumbani?
una itumiaje iyo address na wewe upo tanzania... na gharama ya kujiunga na fedex na myus ni kiasi gani kwa mwezzi au mwaka... wewe flash ime kughalimu kiasi gani kuisafilisha tu hachana na kuinunua....Mkuu, ilitumia three weeks kutoka United States mpaka hapa kunifikia. Nimetumia Fedex mkuu, nilijiunga pia na coy ya myus.com ambapo wanakupatia US physical adress,hii inasaidia incase ukiingia ebay ukakutana na sellers ambao hawaship mzigo kwenda kwenye nchi yako.
Sent using Jamii Forums mobile app