Inside10
Platinum Member
- May 20, 2011
- 34,775
- 42,912
asiyejua maana usimwambie maana.Mrengo gani hebu dadafua Remote ya TV
asiyejua maana usimwambie maana.Mrengo gani hebu dadafua Remote ya TV
Jana usiku kama sa 3 hivi niliona EATV wakirusha kipndi cha msanii wa filamu.Katika kipindi hicho alionekana punga ambaye amejitangaza kabisa anaitwa Aunt Bilali kama sikosei,akiwa amebinua mkiuno wake.Hawa watu wanaharibu maadili,why muwape airtime?
nauliza kwa context ya Tz na east africa
Kwa mrengo wa tz tukianza na avatar yako mkuu hio kitu unavyoitembeza hapo juu basi mrengo unakua sio ule tu.....na huu pia😉
Umemsahau jini @khataan
Jana usiku kama sa 3 hivi niliona EATV wakirusha kipndi cha msanii wa filamu.Katika kipindi hicho alionekana punga ambaye amejitangaza kabisa anaitwa Aunt Bilali kama sikosei,akiwa amebinua mkiuno wake.Hawa watu wanaharibu maadili,why muwape airtime?
hivi kwanini mashoga wote ni majina ya mrengo huo tu..
Bora wachomwe moto tu I hate them jamani(gays)
Jana usiku kama sa 3 hivi niliona EATV wakirusha kipndi cha msanii wa filamu.Katika kipindi hicho alionekana punga ambaye amejitangaza kabisa anaitwa Aunt Bilali kama sikosei,akiwa amebinua mkiuno wake.Hawa watu wanaharibu maadili,why muwape airtime?
Naomba uanzishe kampeni ya kupinga kila mara Joti wa "Ze Comedy" na wasanii wengine wa comedy bongo wanapoigiza sehemu ya wanawake, in drag.
Na kupiga marufuku nyimbo za Bichuka, Maneti,Gurumo, Marijani etc walioimba kama wanawake.
Just for the sake of consistency and being comprehensive.
Katika nchi yenye just kufuata mkumbo, hili sio rahisi kwa mleta mada kulifanya.
Jana usiku kama sa 3 hivi niliona EATV wakirusha kipndi cha msanii wa filamu.Katika kipindi hicho alionekana punga ambaye amejitangaza kabisa anaitwa Aunt Bilali kama sikosei,akiwa amebinua mkiuno wake.Hawa watu wanaharibu maadili,why muwape airtime?
hivi kwanini mashoga wote ni majina ya mrengo huo tu..
Hawa nao ni wa mrengo gain?kuanzia huyu mwimbaji wa injili,huyu amwiimbiya Bwana,huku ni shoga,aitwa George Barasa,maarufu Joji Baro
Umemsahau jini @khataan