EATV kwanini mnawaonesha Mashoga kwenye kituo chenu?

EATV kwanini mnawaonesha Mashoga kwenye kituo chenu?

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,038
Reaction score
13,467
Jana usiku kama sa 3 hivi niliona EATV wakirusha kipndi cha msanii wa filamu.Katika kipindi hicho alionekana punga ambaye amejitangaza kabisa anaitwa Aunt Bilali kama sikosei,akiwa amebinua mkiuno wake.Hawa watu wanaharibu maadili,why muwape airtime?
 
Maudhui ya kipindi yalikuwa ni nini?
 
Maudhui ya kipindi yalikuwa ni nini?
Kile kipindi hakina hata maudhui yanayoeleweka.Mara utawaona wapo club na wanaume wanavaa milegezo hadi boxer zinaonekana ,mara wanawake wanaonesha matiti hadi EATVwanaziba yale matt!
 
hivi kwanini mashoga wote ni majina ya mrengo huo tu..
 
Sasa mkuu kama hujui maudhui ya kipindi, mbona kichwa cha taarifa ya mada yako ni kama kinatoa hukumu tayari...?

Kile kipindi hakina hata maudhui yanayoeleweka.Mara utawaona wapo club na wanaume wanavaa milegezo hadi boxer zinaonekana ,mara wanawake wanaonesha matiti hadi EATVwanaziba yale matt!
 
Bora wachomwe moto tu I hate them jamani(gays)
 
Tv za Bongo hazina content ya watoto. I wonder who is in charge and what he or she is doing about it.

Kuna kipindi niliangalia kile kipindi cha watoto ITV yule mdada anawapa watoto hadithi. Lo? Hizo hadithi sasa??
 
Tv za Bongo hazina content ya watoto. I wonder who is in charge and what he or she is doing about it.

Kuna kipindi niliangalia kile kipindi cha watoto ITV yule mdada anawapa watoto hadithi. Lo? Hizo hadithi sasa??

teh teh teh....zilihusu nini hzo hadith?
 
Tv za Bongo hazina content ya watoto. I wonder who is in charge and what he or she is doing about it.

Kuna kipindi niliangalia kile kipindi cha watoto ITV yule mdada anawapa watoto hadithi. Lo? Hizo hadithi sasa??

si mmeruhusu free market ! pia wazazi nao mko kimyaaaa!! ina maanisha mnapenda!
 
Tv za Bongo hazina content ya watoto. I wonder who is in charge and what he or she is doing about it.

Kuna kipindi niliangalia kile kipindi cha watoto ITV yule mdada anawapa watoto hadithi. Lo? Hizo hadithi sasa??
Wahusika nahisi hawaangalii hizi chanel za ndani, Unaangalia mpaka vipindi vya watoto hongera kwa kufuatilia.
 
Na kuna siku alikuwa mmoja sijui mtangazaji yule anavaa miwani kubwa hivi with a clear lens/glass na mkorokoro mmoja hivi shingoni naye yule sijui kama ni mzima!!!!!

Pozi na body language zake aaaaaaaaargh shida tupu kumuelewa
 
Za kutishaaaaa. Mauaji tuuuu. Nilichoka ghafla
teh teh teh....zilihusu nini hzo hadith?

Free market of what? If people did their jobs as expected these complaints would not arise!!
si mmeruhusu free market ! pia wazazi nao mko kimyaaaa!! ina maanisha mnapenda!

I have a child, sooner or later effects of what he is watching will be evident
Wahusika nahisi hawaangalii hizi chanel za ndani, Unaangalia mpaka vipindi vya watoto hongera kwa kufuatilia.
 
Karucee shusha spana kwanza rafiki yangu!!! nina meeeeeeeeeeeeeeengi ya kukunonng'oneza sincerely kabisa!

fanya shaa shaa basi!
 
Last edited by a moderator:
Naomba uanzishe kampeni ya kupinga kila mara Joti wa "Ze Comedy" na wasanii wengine wa comedy bongo wanapoigiza sehemu ya wanawake, in drag.

Na kupiga marufuku nyimbo za Bichuka, Maneti,Gurumo, Marijani etc walioimba kama wanawake.

Just for the sake of consistency and being comprehensive.

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom