Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,038
- 13,467
Jana usiku kama sa 3 hivi niliona EATV wakirusha kipndi cha msanii wa filamu.Katika kipindi hicho alionekana punga ambaye amejitangaza kabisa anaitwa Aunt Bilali kama sikosei,akiwa amebinua mkiuno wake.Hawa watu wanaharibu maadili,why muwape airtime?