Kweli kabisa kama vile Singida, Mbeya, Tanga.We jamaaa wa ajabu sana uwezi ukalinganisha Arusha kwa kutumia Mwanza bana tafuta miji mingine
Wakati ninaondoka mwaka jana(November) niliacha hotel hii ikiwa inatambulika kwa jina hilo EAST AFRICA HOTEL ila baada ya kurudi juzi Arusha nimeshangaa tena Hotel hiyo imebadilishwa jina na sasa inaitwa GOLD CREAST.
Sasa sijajua huu uchumi uligonga hodi kwenye hiyo hotel na kuuzwa ila yote ya yote tuachane nayo,nimependa sana ukuaji wa mji wa arusha hasa miundombinu nimekuta imeongezwa ikiwa ni sambamba na ujenzi wa barabara ya kutokea Moshi kuingia Arusha ila ikiwa bado ipo kwenye ujenzi (ila inakuja kuwa barabara atakayokuwa na viwango vya kipekee katika miji mikubwa hapa nchini.
Pili,nimeona ujenzi wa hotel mpya ya Hyatt Regency,Kijenge ni moja ya majengo yatakayoiweka Arusha kuonekana jiji la kipekee sana,pia kukamilika kwa jengo la PPF PLAZA kumefanya jiji lizidi kunoga kwa majengo mazuri.
Kiukweli mji huu kama utaendelezwa hivi naona kama unakuja kuupiku Mwanza tena kwa kasi ya ajabu ,kwa mawazo yangu (Mwanza kwa sasa inaizidi Arusha idadi ya watu ila miundombinu na majengo Arusha iko juu)
EAST AFRICA-GOLD CREAST
Tumejipanga mwaka huu tutaisoma.
Arusha ina hotel nyingi sana na zenye majina Hyatt R. Itaongeza tu idadi. Sawa?Snowcrest ya pale ngulelo na mt. Meru zote zinadaiwa inabidi zipigwe mnada i hope hao Hyatt Regency ndio itaiweka Arusha kwenye jina tena
Kwa kweli mwanza hapawezi kuchukua nafasi ya Arusha labda kidogo wawabane singida.Sio wa ajabu na mimi nimeona ajabu watu kusema baada ya Dsm ni Mwanza
mwanza kuna nn ww? Jiji lmepanuka sana ila mitaa imechoka mno!We jamaaa wa ajabu sana uwezi ukalinganisha Arusha kwa kutumia Mwanza bana tafuta miji mingine
Mwaka jana niliona Jiji la Arusha liliongoza kwa usafi upande wa majiji...Kiukweli usafi unaridhisha sana ,ni jiji ambalo linakuwa kwa kasi kila nyanja ni ngumu kukuta uchafu umejazana kwenye mitaro ,kiukweli usafi unaridhisha ila sio kwa viwango vyote.
Hingereni watu wa Arusha..Ni nzuri kwa kweli ukilinganisha na Dar
Hivi lile litakuwa na ghorofa ngapi..?? Hakika Skyscraper ya Arusha itabadilika sana..Umesahau jengo refu kuliko zote Arusha---Jakaya Kikwete Ngorongoro Tower
Acha kumuumiza Slowly bana!!!!Kwa kweli mwanza hapawezi kuchukua nafasi ya Arusha labda kidogo wawabane singida.
Ghorofa 13 ukiweka na kale ka juu inakuwa 14...Hivi lile litakuwa na ghorofa ngapi..?? Hakika Skyscraper ya Arusha itabadilika sana..
Mbona nilisikia ni 18....Ghorofa 13 ukiweka na kale ka juu inakuwa 14...
Labda kama zingine zipo underground... ila hizo 13 zipo labedMbona nilisikia ni 18....
15 juu na 3 za chini kama Parking
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] acha usije ufatwe a magosha umewadhalilishaKwa kweli mwanza hapawezi kuchukua nafasi ya Arusha labda kidogo wawabane singida.
Jk ngorongoro tower...!Mbona nilisikia ni 18....
15 juu na 3 za chini kama Parking
Hivi ule mradi wa Jengo la Pan African postal Union umeshaanza..??Labda kama zingine zipo underground... ila hizo 13 zipo labed