Mwana Ukoo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 252
- 422
Mkuu Izo earhero zina muda mrefu kidogo sokoniSasa wababa unataka kifaa avae afisa USA,kesho ukione bongo!!!!!,
Kwanza nje ya kanuni ya usambaaji wa kawaida,huwa ni kama ufahari fulani kutumia kifaa cha kisasa wenzio hawana.
So subiri hata miaka saba hivi.
Ni kweli mkuu pia zinapunguza kwa walinzi kuwa spoted haraka tofauti na Coiled tube Earpieceni nzuri sana hizo.kuna mlinz wa mbowe anavaaga hiyo sijabahatika kukamata pic yake.nitaiweka hapa wakuu
ni nzuri sana hizo.kuna mlinz wa mbowe anavaaga hiyo sijabahatika kukamata pic yake.nitaiweka hapa wakuu
hahaha walinzi wa mbowe
nYaNi wA KaLe
Ni magirini kwa kwenda mbele.hahaha walinzi wa mbowe