Eagle house imejengwa awamu ipi ya uongozi?

Eagle house imejengwa awamu ipi ya uongozi?

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
16,499
Reaction score
42,705
Eagle house imejengwa mwaka gani wadau hili jengo karibu na st peters nitapenda kufahamu ni bwm jk au mwinyi au nyerere ninani aliyelijenga
 
Eagle house imejengwa mwaka gani wadau hili jengo karibu na st peters nitapenda kufahamu ni bwm jk au mwinyi au nyerere ninani aliyelijenga

Ingilia upande wa Bongoyo Rd. kuna sehemu ya maulizo pale.
 
UPI ni ukweli 1996 au 2006 siamini kama hakuna ajuae mbona liko njiani na je wakati mwalimu anaenda kusali pale st pita lilikuwepo
 
Sio kila mtu anafahamu eagle house ni jengo lipi na liko Wapi?? Hivyo kwa manufaa ya wengi, toa ufafanuzi.
 
Sio kila mtu anafahamu eagle house ni jengo lipi na liko Wapi?? Hivyo kwa manufaa ya wengi, toa ufafanuzi.
hata wewe kada hulijui lile jengo kubwa nyuma ya kituo cha Mafuta cha puma
 
Miaka ya nyuma Kabla ya kutengwa jengo hilo kulikuwa na ofisi zao....mbona tulikuwa tunakatiza ofisi zao ukitokea st peters unatokea banda mayai au pale wanapoogeshea mifugo zamani
Ila sahv wameweka bonge la geti
Kweli zama zinabadilika!

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Ile migorofa ilikuwepo au ni kazi ya mwinyi mkapa au jk
 
Duh
Duh Safi Sana mkapa naliamini aisee heko kwa mzee mwangonda apson kwa uzalendo uliotukuka kwa wanakitengo wote japo kwasasa kuna watu wanawatia doa
Zamani ulikuwa unakatiza tu huulizwi
Sema huonani na mtu
Mitaa yao iko kimyaaaa
Hata kule hananasif hivyo hivyo kimya
Hata ule mtaa aliyekuwa anakaa pinda ni kimyaaa

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom