Eagle house imejengwa awamu ipi ya uongozi?

Eagle house imejengwa awamu ipi ya uongozi?

Ya eagle house mwachieni EAGLE MWENYEWE!
 
Nimefurahi mdau kanikumbusha John Bichwa, siku nyingi sana sikulisikia jina hilo.

Watoto wa Obay/ Msasani, Ada Estate watamjua.
John bichwa doh anyway hivi kale kaduka kwenye kijinjia Cha kuingilia ego ni kao au mjasiliamali wa kawaida tu maana Kuna kaduka hapo pembeni mkono wa kulia ukiingia na hako kauchochoro mpk uzunguke lami uje utokee kwenye ubalozi wa vietnam nadhani
 
John bichwa doh anyway hivi kale kaduka kwenye kijinjia Cha kuingilia ego ni kao au mjasiliamali wa kawaida tu maana Kuna kaduka hapo pembeni mkono wa kulia ukiingia na hako kauchochoro mpk uzunguke lami uje utokee kwenye ubalozi wa vietnam nadhani
Nineondoka Oysterbay/ Dar es salaam kabla ya jengo kujengwa.

Hata palivyo leo sijui.
 
Back
Top Bottom