Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 7,682
- 9,525
- Thread starter
- #21
WatanyookaEti agiza na mimi pekee, yani umeenda China mwenyewe huna hata mtaji unazunguka madukani unapiga vitu picha unasubiria nikitaman nikilipie upate hela ya mtaji. Haya kitu kinafika kiko tofaut na ulichoona katika picha