and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,111
Mwamba wa mabishoo wa Kariakoo
OkayWekeni picha wa mikoani tuone hapo ubungo pakoje
They will learn to co-exist, mutually. Simple to say, BUT...Wachina (EACLC) wanafungua Mall kubwa ilipokua Ubungo Bus Terminal . Tutarajie walanguzi wa Kariakoo kuanza kulia njaa na kuandamana kumtaka Chalamila afukuze wachina.
**Wachina waruhusiwe kuuza Hadi Tunduma/Kasumulu/Rusumo na Mipakani kote. Wacongo, Wazambia , Wamalawi, Wanyarwanda wasifike Kariakoo kabisa.
***Nimepita Lusaka nako Wachina wanajenga mall kama hiyo EACLC
LAAAH!Tanzania sees investment fortunes Tanzania sees investment fortunes – Daily News
View attachment 3326517
Ukweli halisi ni huu:Kariakoo will never die. Hilo eneo litaendelea kushamiri sana kwa biashara kuliko sehemu nyingine yoyote Afrika Mashariki. Eneo lipo pazuri sana.Hapana Kariakoo watu wanapigwa sana na asilimia 90 ni bidhaa bandia
Shithole country, badala tujenge viwanda tunajenga maduka ya kuuza bidhaa za China.Wachina (EACLC) wanafungua Mall kubwa ilipokua Ubungo Bus Terminal . Tutarajie walanguzi wa Kariakoo kuanza kulia njaa na kuandamana kumtaka Chalamila afukuze wachina.
**Wachina waruhusiwe kuuza Hadi Tunduma/Kasumulu/Rusumo na Mipakani kote. Wacongo, Wazambia , Wamalawi, Wanyarwanda wasifike Kariakoo kabisa.
***Nimepita Lusaka nako Wachina wanajenga mall kama hiyo EACLC
Miye mfanyabiashara akipiga kelele wachina jibu langu huwa mnawachekea sana CCM ebu tarehe 19/05/2025 fungeni maduka yenu muende kisutu kwa amani kabisa muende tu mkaae pale muone kama hao wachina wataendelea kuwepo nawambia wachina wapo kwa sababu utawala uliopo unajua hamna Cha kufanya unawadharau ebu onyesheni mpo seriously na mabadiliko muoneHapana Kariakoo watu wanapigwa sana na asilimia 90 ni bidhaa bandia
sio walanguzi hapo nchi yako imeshindwa kulinda watu wake kwenye supply chain, lazier kuwe na kiwanda, whole seller , retailer mwisho kwenda kwa consumer, unaporuhusu huyu wholeseller tena wa kigeni kuuza direct kwa consumer maana yake umepoteza ajira nyingi sana nchini kwakoWachina (EACLC) wanafungua Mall kubwa ilipokua Ubungo Bus Terminal . Tutarajie walanguzi wa Kariakoo kuanza kulia njaa na kuandamana kumtaka Chalamila afukuze wachina.
**Wachina waruhusiwe kuuza Hadi Tunduma/Kasumulu/Rusumo na Mipakani kote. Wacongo, Wazambia , Wamalawi, Wanyarwanda wasifike Kariakoo kabisa.
***Nimepita Lusaka nako Wachina wanajenga mall kama hiyo EACLC
ImefunguliwaNasikia airforce ni alfu tano😂, watu watakufa njaa hapa bongo
Inafunguliwa lin mkuu?Hapana Kariakoo watu wanapigwa sana na asilimia 90 ni bidhaa bandia
June mostlyInafunguliwa lin mkuu?
June mostlyInafunguliwa lin mkuu?