Tech Africa
New Member
- Feb 25, 2021
- 2
- 12
E-SIM ni teknolojia inayomsaidia mtumiaji wa simu kwa na laini zaidi ya moja kwenye simu hata kama simu hiyo inakisehemu kimoja tu cha kuweka laini.
Vitu vya kuzingatia ili kuweza kupata huduma ya E SIM ni vipi?
1. Lazima simu yako iwe ina uwezo wa kupokea mipangilio ya E-SIM, kwa maelezo zaidi nenda google na uangalie kama simu yako ina uwezo huo.
2. Lazima uwe umesajiliwa na mtandao unaotoa huduma ya E-SIM, kwa hapa Tanzania ni Airtel.
Faida za E-SIM.
1. E-SIM inasidia sana pale ambapo unahitaji kutumia laini mbili za simu lakini simu yako inakisehemu kimoja tu cha kuweka laini, au unataka kutumia laini tatu lakini simu yako inasehemu mbili tu za kuingiza laini.
2. Hakuna tena haja ya kununua laini za simu, na mtu akiiba simu yako basi unaweza kufuta na kundoa mpangilio wa E-SIM ukiwa mbali hivyo basi mwizi hawezi kupata laini yako.
kama una swali lolote karibu kuuliza kwenye sehemu ya comment.
Vitu vya kuzingatia ili kuweza kupata huduma ya E SIM ni vipi?
1. Lazima simu yako iwe ina uwezo wa kupokea mipangilio ya E-SIM, kwa maelezo zaidi nenda google na uangalie kama simu yako ina uwezo huo.
2. Lazima uwe umesajiliwa na mtandao unaotoa huduma ya E-SIM, kwa hapa Tanzania ni Airtel.
Faida za E-SIM.
1. E-SIM inasidia sana pale ambapo unahitaji kutumia laini mbili za simu lakini simu yako inakisehemu kimoja tu cha kuweka laini, au unataka kutumia laini tatu lakini simu yako inasehemu mbili tu za kuingiza laini.
2. Hakuna tena haja ya kununua laini za simu, na mtu akiiba simu yako basi unaweza kufuta na kundoa mpangilio wa E-SIM ukiwa mbali hivyo basi mwizi hawezi kupata laini yako.
kama una swali lolote karibu kuuliza kwenye sehemu ya comment.