e-learning Africa conference

e-learning Africa conference

Gurta

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2010
Posts
2,233
Reaction score
537
Wakuu,

Ninaamini kutakuwa na wana-Jamii Faida (nafahamu Emanuel Feruzi anashiriki kama mtoa mada) wanaohudhuria hii conference pale Mlimani City.

Naomba mtubandikie yanayoendelea huko, nimetembelea tovuti yao ila naona wako bize sana hadi wamesahau kuisasisha.

Natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom