E Fm kipindi cha Sports HQ kinaboa

Jacobus

JF-Expert Member
Mar 29, 2011
4,681
1,698
Wakuu, nilitokea kupenda kusikiliza kipindi cha michezo cha radio E Fm kuanzia saa tatu asubuhi mpaka sita mchana.

Hivi karibuni kipindi hiki kinacheza miziki zaidi kuliko habari ya michezo.

Nawashauri kama habari za michezo hamna nyingi basi ni heri kupunguza muda kama Wasafi walivyofanya kwani hawa muda wa vipindi vyao ni sawa na vyenu.

Inachosha kwa habari moja miziki miwili na tangazo juu.
 
Hiki ni kipindi cha sikukuu vipindi vyote vina style iyo iyo ngoja wiki ijayo tarehe 4 uone kama kutakua na huo unaouita ujinga.
 
una muda wa kuchezea kweli ,yaani saa 3 hadi 6 unasiliza redio

Kwa sisi wavuvi wa pwani huo ni muda wa kupumzika ..naingia kazini jioni napiga kazi usiku mpaka saa 9 au 10 namaliza kazi .. narudi naacha mzigo kwa madalali naenda kulala nikiamka nacheza bao na karata mpaka jioni tena. We ukiniita mwinyi sijui mvivu nakuchora tu ..
 
Kwa sisi wavuvi wa pwani huo ni muda wa kupumzika ..naingia kazini jioni napiga kazi usiku mpaka saa 9 au 10 namaliza kazi .. narudi naacha mzigo kwa madalali naenda kulala nikiamka nacheza bao na karata mpaka jioni tena... we ukiniita mwinyi sijui mvivu nakuchora tu ..
Sawia mkuu. Wengine huwa hawawazi nje ya boksi. Shida hiyo.
 
Kwa sisi wavuvi wa pwani huo ni muda wa kupumzika ..naingia kazini jioni napiga kazi usiku mpaka saa 9 au 10 namaliza kazi .. narudi naacha mzigo kwa madalali naenda kulala nikiamka nacheza bao na karata mpaka jioni tena... we ukiniita mwinyi sijui mvivu nakuchora tu ..
Sawa mwinyi mkuu
Pole kama inakuhusu.
Hainihusu mkuu. mi siwezi kukaa nasikiliza maoni ya watu muda wote huo.
 
Kwani Taifa linamlipa Kitenge mshahara wa Sh. Ngapi mpk liweze kuhoji kama analiletea tija au la?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok, yawezekana halipwi lakini ni lazima atueleze leo yupo wapi na wapi? Wengi tu wanasafiri nje ya nchi na wanahabari wamo lakini huwasikii wakijimwambafai kuwa wapo wapi kila siku:mad::mad::mad::mad:
 
Back
Top Bottom