Mungu ameisha kuepusha.
Kawaweka E.coli kwenye utumbo wako mkubwa, na hawakupi shida yoyote.
Halafu katupa akili na elimu-ukila chakula ambacho kimefikiwa na uchafu wa kinyesi cha binadamu au mnyama, utapelekea E.coli kwenda sehemu nyingine ya mwili ambako wataleta madhara..