DW: Zitto Kabwe ametorokea nchi jirani

DW: Zitto Kabwe ametorokea nchi jirani

Troll JF

Platinum Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
9,321
Reaction score
13,765
Karibuni Nita Update hapa

Nimerekodi Audio imeshindikana Ku Upload hapa

-Dada aliyekua anahojiwa kakataa kukimbia kwa zitto Kabwe na wala hajakubali kuwa yupo Nchini amesema mpaka Kikao cha Chama kikae ndiyo wataongelea hilo.

-Zitto Kabwe yupo na ni mzima wa Afya ila haja sema yupo wapi ila anasema wanamawasiliano naye.
 
Wanasema hakuna taarifa rasmi kama yupo nchini ama la..
Lakini wanasema yupo salama na wanawasiliana nae
 
Wakimuhoji msemaji wa chama, wamedai kuna taarifa kuwa Zitto amekimbilia nchi jirani.Hata hivyo msemaji huyo wa chama amedai swala hilo litatolewa taarifa ktk muda muafaka baada ya vikao vya chama kuketi.source DW habari ya saa 7
 
Back
Top Bottom