Steven Robert Masatu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2009
- 2,458
- 1,826
"On Setember 2012 the Dutch Govt and ministry of finance (Tanzania) SIGNED an agreement . . . . . . " blah blah za Netherlands and Netherlands zinaingiaje hapo??!!!
Kama wao ndio wanakiuka why tuandikiwe sie kulalamikiwa juu ya kushindwa kutekeleza makubaliano??!!!
By the way. . . . . . .Things are sour your ways. . . . .,all best na utetezi
Kaka mpotezee huyo. Hapa tunajadili issue za msingi kwa Taifa yeye analeta jokes utafikiri hizo taarifa ni za kutunga. Huu ni utoto wa hali ya juu wanaofanya hawa makada. Ukitaka muwe sawa naye wewe mponde Nyerere na Mkapa ndo hapo atafurahia. Akili za kushikiwa ni shida kubwa sana