Hao wamekasirika wamenyimwa bandari ya Mtwara.
Waondoke tu.
JK kashindwa mambo mengi sana kwenye urais wake yaani ni tabu tupu
Acha upuuzi Shekha msaada wa umeme wilaya 3 ndiyo watake bandari???mbona wachina mmewapa bagamoyo bureHao wamekasirika wamenyimwa bandari ya Mtwara.
Waondoke tu.
Sasa ndo umeandika nn Hapa?kwamba ccm kila wakati mnatuletea wachovu,sasa kama mnajijua hamuwezi kwani mnangangania madarakani kiasi cha hata Kuwa tayari kuua watunitajie rais aliyeweza. acha ushabiki wewe. viva jk viva
mkuu mwaka huu wametoa na viatuPesa yote kapelekewa mchina atengeneze tshet,kofia na viremba kwa ajili yakuhonga walalahoi kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu
". . . . If no sufficient budget has been availabe. . . . . .ORIO. . . ." ya bandari yametoka wapi??!!Hao wamekasirika wamenyimwa bandari ya Mtwara.
Waondoke tu.
". . . . If no sufficient budget has been availabe. . . . . .ORIO. . . ." ya bandari yametoka wapi??!!
Visingizio vyepesi. . . . .
Acha upuuzi Shekha msaada wa umeme wilaya 3 ndiyo watake bandari???mbona wachina mmewapa bagamoyo bure
Tatizo ni ufahamu wako tu.
Mkataba/makubaliano ya REA fund wapi umegongana na huo wa bandari??!!!
Ainisha hapo tu ewe mwenye ufahamu mkubwa
". . . . .22bn was budgeted for the same by the Govt. . . . ." bajeti hiyo ilipitishwa na wajenga bandari sio??!!
. . . . . .financial matters will be resolved. . . . . wewe uko informed saaana kuliko wizara??!!
Ajisemea babu yangu. . . . ."unajimwambafy". . . . !!!!
"On Setember 2012 the Dutch Govt and ministry of finance (Tanzania) SIGNED an agreement . . . . . . " blah blah za Netherlands and Netherlands zinaingiaje hapo??!!!Netherlands vs Netherlands.
Hapo ndipo ulipokutana.
Hii yote ni sababu ya kutegemea kupewa vitu bure.
Hawa watu wana tishia tisia nini si wasitoe tu hiyo misaada
ili serikali yetu ijifunze kufanya kazi kwa bidii na kushkuru
misaada iliyopo.
Huwa si msapoti mtu yeyote CCM lakini speech ya Lowasa Juzi ilinifanya
nifikiri kidogo. Kama kweli ataweza kutoa hii nchi kwenye umasikini na
sisi kutumia resminali zetu na kutokuwa "Omba omba" basi atakuwa mtawala
mzuri. Even tho he is not getting my vote.