Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 19,017
- 31,463
Ni kweli kabisa naunga mkono wazo lako.
Poa kinachonitatiza na JF siku hizi ni kwamba inakuwa vigumu sana kumfuatilia mtu pengine tuanzishe mpango wa ku Tag mtu mjadala inapopaswa. Mada ni nyingi sana huwezi kusoma zote hadi unategea kuona wakali wako wamechangia wapi zaidi ndio unajiunga. Kuna watu natafuta michango yao huwa siwapati japokuwa huwaona wame log in..