Na ukitaka kufa, kula hili tunda kisha shushia na bia!!View attachment 678067 View attachment 678068 View attachment 678069
Kabla hujafa ni vizuri ulionje tunda hili la ajabu.
nzuri kwa wanaokula hilo tunda lakini ni mbaya kwa asielipenda. yaani inatia kichefuchefuSamahani,hiyo harufu kali una maana nzuri sana au mbaya sana?
Inaweza ikawa vyovyote inategemea na mtu,ila watu wengi inawakera na harufu yake ngumu kutoka mybe umeliweka tunda kwenye friji basi hapo wiki nzima haitoki japo ushalitoaSamahani,hiyo harufu kali una maana nzuri sana au mbaya sana?
Mbona kwetu yapo mengi tuView attachment 678067 View attachment 678068 View attachment 678069
Kabla hujafa ni vizuri ulionje tunda hili la ajabu.
MoshiKwenu wapi?
Hahahaha acha uongo dadakeNa ukitaka kufa, kula hili tunda kisha shushia na bia!!
Kwanini ufe ukishushia na bia? imeshaua wangapi? nani alifanya huo utafiti kuwa ukishushia na kilevi unakufa? ni sumu gani iliyopo katika tunda hilo hadi iueukishushia na bia? Majibu tafadhali!Na ukitaka kufa, kula hili tunda kisha shushia na bia!!
Mbaya sanaSamahani,hiyo harufu kali una maana nzuri sana au mbaya sana?
Shoki shoki ni vidogo vidogo mkuu rangi nyekunduTunayaita mashokishoki