Shoki shoki ni ndogo nyekundu zinakua na miti mirefu hizi sio shoki shokiTunayaita mashokishoki
Maswali mazuri sana ila sina Majibu!Kwanini ufe ukishushia na bia? imeshaua wangapi? nani alifanya huo utafiti kuwa ukishushia na kilevi unakufa? ni sumu gani iliyopo katika tunda hilo hadi iueukishushia na bia? Majibu tafadhali!
Muongo mkubwa kama jambo hujui si ukae kimyaTunayaita mashokishoki
HahahahKama umesoma kitabu cha Mfalme **** cha Farouq mwishoni mfalme **** anaambiwa akifa siku ya .... ataenda peponi atakuta chakula matunda na kila anachotaka.
Yeye akauliza "Madoriani yapo?" Akajibiwa "Ndiyo"
Akasema "Kama yapo basi siendi mi harufu yake siipendi" akawahiwa "Kama kitu hukipendi hautakikuta wala harufu hautaisikia"
Akakubali kufa
Update
Hivi mnaweza kuamini hizo nyota nyota ni kisa nimeandika neno ju.ha?
Jamii Forums mbona mna mambo ya ajabu hebu acheni hizo, neno la kawaida kabisa mnalisensor.
View attachment 678067 View attachment 678068 View attachment 678069
Kabla hujafa ni vizuri ulionje tunda hili la ajabu.
Hahahaaa sio uongo mkuu, saka maarifa zaidi mtandaoni..., lisemwalo lipo..Hahahaha acha uongo dadake
Na ukitaka kufa, kula hili tunda kisha shushia na bia!!
Sidhani labda umefananisha,yanaota maeneo ya pwani tu..nchi kama zanzibar,malaysia,indonesia ndio baadhi ya nchi zinazootesha
Tunayaita mashokishoki[ sio mashokishoki.
Shokishoki zina rangi nyekunduSio shoki shoki hizo
Hapa Dar yanapatikana sehemu gani?View attachment 678067 View attachment 678068 View attachment 678069
Kabla hujafa ni vizuri ulionje tunda hili la ajabu.
Tunda la mfalme juha
Kumbe ndio maana likaitwa burianiNa ukitaka kufa, kula hili tunda kisha shushia na bia!!