Duniani kuna mengi sikutegemea hili kunipata

Duniani kuna mengi sikutegemea hili kunipata

Anahitaji pia pesa ya huduma ndogo ndogo kama sabuni, chakula, usafiri nanmavazi.

Atafute namna ya kuthibitisha hii taarifa yake, wengi wakijiridhisha watasaidia sana. Kwa hivi ilivyo ngumu kwa watu wengi kuchangia kwani dunia imekuwa ya watu wadanganyifu sana.
Naungana na wewe...
Atafute namna ya kuithibitisha hii taarifa..!!

Maana huko mwisho amefunga mawasiliano,
Hivyo in ngumu MTU kujiridhisha iwapo atataka kuchangia, tatizo watu wakorofi wameondosha imani kuaminiana baina yetu tusiofahamiana...
 
Mkuu bila shaka ulipewa karatasi za vipimo tupia picha za hzo karatasi ili uaminike na usaidike,
 
Peter89 pole kwa matatizo yanayokukabili

Fuata Ushauri wa wana JF,weka vielelezo muhim... Mimi na Familia yangu nitawaomba tujinyime ili tukuchangie

Na je? Huwa una I'd nyingine Hapa JF..?
 
Pole sana ndugu yangu. Mungu atamponya kwani kila kitu kwake kinawezekana.
 
MODS hebu anzisheni kuona jinsi tunavyoweza kusaidia kwa kukusanya michango kwa huyu ndugu yetu aliyethubutu kuliweka tatizo lake wazi ili wana JF tumsaidie.
Mimi nipo tayari kumchangia ikipatikana njia muafaka ya kukusanya michango.
 
Dah kweli jamaa ana matatizo hadi jana kaamua kujiunga na kuwa member humu JF kwa ajiri ya huu mtihani uliyompata.
 
Toeni mchango ....
Msaidieni jamani...

Maswali mengine hayasaidii...
 
Mimi niko tayari kukuchangia mkuu, kama utafanyia kazi koments za wenzangu waliotangulia ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kwamba wewe ni binadamu na una tatizo hilo kweli.
 
Naunga mkono hoja ya Nemo mkuu ukiweka vielelezo nitato fungu langu la kumi kwako
 
Pole mkuu,Napendekeza tuunde kamati mdogo ya wana JF waweze kukutana na huyu mwenzetu wajiridhishe juu ya suala hili,then ikithibitika tupate mrejesho tumchangie mwenzetu fedha hiyo apate matibabu.
 
Pole sana mkuu,amini mungu atakusaidia na inshallah ntakuchangia kadri ntavyobarikiwa maana pia nmetoka kuuguza mama angu mzazi pale ocean road najua ukubwa wa tatizo hilo.
 
Back
Top Bottom