Duniani kuna Mambo!

Duniani kuna Mambo!

kissa anyigulile

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2017
Posts
1,550
Reaction score
1,743
Kuna mfanya biashara mmoja maarufu(jina kapuni) ametoa dau la Tshs 2.3 Bilioni kwa atakayemkamata Putin, hai au amekufa!
Sasa nimecheka peke yangu. Nikajisemea: "Isije ikawa kibao kikabadilika halafu tanangazo hilo ligeukie kwake!"
Putin ni mjanja kama nyoka! Na akiamua anampata!
 
Nani uyo unahisi atakuona huku jamii forum hahaha wabongo bhn udaku mko vzr.
 
mtaje jina ili tukimkamata tumfate wenyewe au ndo unataka tukuletee wewe then we ndo umpelekee😏

mambo ya biasha za mjerumani haya ndo yalinishindaga.
 
Ushauri

Kabla hujaenda field Nenda kapambane na Simba 100 wa Ruaha National park kama sehemu ya kujifua.

NB Pesa kidogo sana Kwa Chenge ni vijisent waongeze dau kidogo nikajifue na masenary wa kikurya
Huyo Put in atanyamba cheche!
😁😁😁😁🔥🔥🔥
 
Back
Top Bottom