Muarubaini
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 222
- 48
Jamaa yangu mmoja alikuwa anatembea na mke wa mtu, akaonywa hakusukia. Cku moja akamka asubuh akasikia maumivu ya ghafla kwenye nyeti zake, bado akiwa anashangaa akamuona panya anapotelea kwenye kona amebeba nyeti zake. Its real, imetokea