wakikaa macho weeee!! wakichoka wanalala!!....Mbona Bongo Kariakoo au/kwa Masangati watu hawalali?? yaani ni ukichoka tu nenda kapige mboji!!! ukiamka tu, nachapa maji kama kawaida!
Ambiance pale hawalali, wanauzaaaaa masaa 24! usiku Mataa kama yote!!..........wanaenda kulala na kurudi!! usiku wako, ni wewe mwenyewe kuutaka, mleta mada unaishi kijiji gani kwani???? si utembee tembee???