Ufanye niniBwahahaha
Mimi niachwe kwanza asee
Haya bwana mkuuUkishushwa vita ya tatu utaishuhudia wapi mkuu
Haya bwana mkuu
Amini duniani watu ni kama mchele. Kuna mchele wenyewe kama huyo hapo juu na vichengavichenga vya mchele. Ila vyote tunavila.
HahahaHahahaha huu utakuwa mchele wa kyela sio shinyanga,, super mchele from kyela

. Hapa ndipo pale shekh kipozeo anabakigi kusema eeh itokee tu eeeh itokee tuMkuu ujue ukishuka tu unaenda kwa sir.God je upo tayari?