lakini pamoja na hayo maelezo ukweli unabaki palepale kwamba hayo matetemeko na volcano eruption ni matokeo ya Geological internal proces, na sio kweli kwamba sasa yamezidi kuliko hapo zamani, kuna uwezekano kwamba sasa yamepungua kwa sababu kwa asilimia kubwa dunia ilifikia katika kiwango chake cha kujibalance,
Mfano chukulia pale Ngorongoro Crater, ule ulikuwa ni mlima mkubwa labda zaidi hata ya kilimanjaro lakini kwa sababu ya eruprtion ya volcano kutoka huo mlima ndio hiyo crater ika form (Crater formation)
kweli nakubliana na wewe kuwa shughuli za kibinadamu zinaweza kwa kiasi kikubwa kutokea kwa haya matetemeko
chukua mfano wa bara la Africa, kwa hapa lilipo linaonekana kama liko sattled na limejibalance vizuri kutokana na uzito wake relative to the entire Earth (Isostance), sasa imagine madini yote yanayochimbwa Africa millions of tons (Iron, Copper,gold, nickel, diamond, caco3 ect), na kumbuka hizi tani zinaenda out of Africa say europe or America, sasa Automatically Bara la Africa litakuwa linaloose weight na same time Europe ina gain weight, sasa katika kujibalance na kucompersent weight loss na weight gain lazima haya mambo yatokee na yatatokea sana