Dunia ingekuwaje bila wazungu?

Dunia ingekuwa kama wahazabe, amazonian, mursi t
Tungekuwa kama Wamasai, wahazabe, Amazonian s,mursi, hotentals na wale Kule mvumi Dodoma
 
Soma vizuri historia yako kuhusu Africa kabla before Christ
 
Siku wakisema kila nchi itumie vitu ilivyotengeneza yenyewe hata sipati picha! msafara wa rais utakuwa na lundo la mikokoteni,kuhamia Dodoma ndo itakuwa basi tena,wali tutalia vidole,kuangalia Tv na kusikiliza redio ndo kwaheri,show za fiesta hazitakuwa na maiki wala spika,fikiria nguo za mitumba zote,majinsi makali,makadeti,viatu vyote vya wazungu vikachukuliwa...ndio utajuwa waafrika tuko nyuma kiasi gani,Tujenge viwanda tuache utani.
 
Sijui waafrika wangelikuwaje! Kosa alilolifanya Mungu ni kuwaumba waafrika
 
Mushi siyo kwamba sisi hatuwezi tatizo Africa ni viongozi wamewekeza kwenye siasa badala ya utaalamu, kila MTU anafikiria kuwa. mwanasiasa iliaishi vizuri, hats Leo Afrika kipaumbele ikiwa elimu baada ya miaka 20 Africa itakuwa mbali sn.
 
wangekuwepo wengine kama vile wachina na wajapani
 

We are not talking of ccm, we are talking science and development.
 

What was that thesis about? Einstein alimaliza kila kitu hicho kigumu kilikuwa kipi
 
MUNGU HANA UPENDELEO HATA CHEMBE, SIKU NCHI ZETU ZIKIWA NA MFUMO BORA WA KUENDELEZA VIPAJI, NA KUTOA ELIMU BORA BASI AFRICA TUTAKUWA ZAIDI YA ULAYA. TUMEZIDI KUWA WABINAFSI SANA, KUANZIA KWENYE NGAZI ZA FAMILIA HADI UONGOZI WA NCHI.

Umesoma nguin with that argument
 
fuatilieni historia ya mafarao wa egypt kabla ya kuja hao wazungu timbuktu,kushi na vi states vyote
 
Hahahahah umetisha sana mkuu
 

Tanzania mna maisha magumu, mmebuni nini
 
Tungekuwa mbali sana...kwa sabab kabla ya ujio wao tulikuwa tuko sawa kimaendeleo
 
Elimu tumeifanya kama dini ambayo makao yake makuu ni huko kwa wazungu,na ndiyo maana tunawasikiliza wao kwa kila jambo(ya uongo na kweli) na ndiyo maana tuna amini hatuwezi kufanya kama wao.

Leo hata kitu kikitengenezwa Japan au china ila utasikia tukisifia wazungu balaa.
 
Utakuwa umesoma history na hivi ndivyo mlivyokuwa mnadanganywa na Pan Africanists!! Nijibu swali moja: Industrial revolution iliyotokea Europe zaidi ya miaka 500 iliyopita, hadi hivi sasa Afrika hatujaifikia pamoja na kwamba tuna kwa kujifunza... NDIYO AU HAPANA? Kama HAPANA, fafanua!
 
Kusingekuwa na silaha za maangamizi kama ilivyo sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…