Dunia ingekuwaje bila wazungu?

Dunia ingekuwaje bila wazungu?

Steven mushi mushi

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2016
Posts
533
Reaction score
741
Wakuu hili swali huwa najiuliza sana, kwamba hii dunia ingekuwaje bila hawa watu. Mambo mengi katika hii dunia wao ndo wagunduzi kuanzia mambo ya teknolojia, kieletroniki, sayansi na mengine mengi wakati Africa hakuna kitu cha maana chochote tulichofanya wakati white people ndo walioifikisha dunia hapa ilipo.

Hivi bila hawa jamaa ingekuwaje?
 
Eaafrika wanaosema ka passo ni starehe kwanza tusingejua kuwa kuna Mabara mengine.. ingawaje mpaka sasa tupo kwenye kipindi cha Ujima nadhani ingekua zaidi ya hapa...
 
Kuna sayari zinaishi viumbe, wana akili kuliko wazungu...!
 
YANGETOKEA YAFUATAYO
1.Jamiiforums isingekuwepo

2.Tusingekuwa na Bombardier

3.Laptop na Smartphone, visingekuwepo

4.Biashara ya kubeti isingekuwepo

5.Tungekuwa na dini pamoja na tamaduni zetu wenyewe.

6.Pale posta pangekuwepo na vichaka vya kuogofya na tusingekuwa na barabara za lami.

7.Tusingekuwa na TANESCO, TCRA, NEC, TBC, n.k

8.Pasingekuwepo na UKIMWI wala CONDOM.

9.Mapenzi yangetegemea hisia za dhati na sii pesa.

10.Nisingekuwa naisubiri game ya Liverpool na Manchester United 17 ya October.
 
Wakuu hili swali huwa najiuliza sana, kwamba hii dunia ingekuwaje bila hawa watu. Mambo mengi katika hii dunia wao ndo wagunduzi kuanzia mambo ya teknolojia, kieletroniki, sayansi na mengine mengi wakati Africa hakuna kitu cha maana chochote tulichofanya wakati white people ndo walioifikisha dunia hapa ilipo.

Hivi bila hawa jamaa ingekuwaje?


Siyo kweli ni bora ungerekebisha swali lako na kuuliza Dunia ningekuwaje bila ya Binadamu? Kumbuka kwamba kila ukionacho leo hii kilikuwepo tangu kale na sasa hivi kinachofanyika ni kuboresha tu, hivyo ingawaje Wazungu au watu wa Magharibi leo hii ndiyo wenye uchumi mkubwa Duniani na kuongoza kwenye mambo ya Sayansi na Teknolojia lkn pia wamejifunza/kuchukua au niseme kuendeleza mambo mengi sana ktk jamii nyingine!
 
Mima kiliManjaro !!!
Hawa jamaa wanatuona sisi mbwiga sana. Ninakumbuka wakati nilisikia kesi ya kaka wa kichaga, alikwenda kufanya PhD Uingereza, walimpa thesis ngumu sana ambayo wanafunzi wengi waliishindwa, mchaga aliipasua, hawakuamini, walimwita na kumpa kazi, lakini hawakumpa mshahara wa PhD holder, kaka wa watu aliifikiria ile package, na visa, alikubali. Mke wake alipelekewa barua kutoka mgombani anafika Dar anaambiwa lete passport yako na za watoto mchukue visa zenu.
 
Hawa jamaa wanatuona sisi mbwiga sana. Ninakumbuka wakati nilisikia kesi ya kaka wa kichaga, alikwenda kufanya PhD Uingereza, walimpa thesis ngumu sana ambayo wanafunzi wengi waliishindwa, mchaga aliipasua, hawakuamini, walimwita na kumpa kazi, lakini hawakumpa mshahara wa PhD holder, kaka wa watu aliifikiria ile package, na visa, alikubali. Mke wake alipelekewa barua kutoka mgombani anafika Dar anaambiwa lete passport yako na za watoto mchukue visa zenu.
Haijambo walimThamini na UTU wao wa aina hiyo ndiyo unawaOngezea maarifa na baraka !!
Ngoma kubwa ipo hapa nchini.... "huyo ndugu yetu na bongo lake angeliambulia uhamisho wa mikoani baada ya mkoa"
 
Haijambo walimThamini na UTU wao wa aina hiyo ndiyo unawaOngezea maarifa na baraka !!
Ngoma kubwa ipo hapa nchini.... "huyo ndugu yetu na bongo lake angeliambulia uhamisho wa mikoani baada ya mkoa"
Ni kweli na watoto wanapata elimu bure, akichange £ ghorofa mgombani linasimama.
 
hapa ndio huwa naushangaa uwezo na upendo wote wa Mungu wenye ubaguzi ndani yake!!!!
Nyie mnatafuta nipewe ban bure, koma kabisa, tena ukomeeeeee..... Kama ulivyo koma.
Mungu wangu miye hana upendeleo senzi zako wewe...........

.
 
hapa ndio huwa naushangaa uwezo na upendo wote wa Mungu wenye ubaguzi ndani yake!!!!
Nyie mnatafuta nipewe ban bure, koma kabisa, tena ukomeeeeee..... Kama ulivyo koma.
Mungu wangu miye hana upendeleo senzi zako wewe...........

.
 
Back
Top Bottom