Steven mushi mushi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2016
- 533
- 741
Wakuu hili swali huwa najiuliza sana, kwamba hii dunia ingekuwaje bila hawa watu. Mambo mengi katika hii dunia wao ndo wagunduzi kuanzia mambo ya teknolojia, kieletroniki, sayansi na mengine mengi wakati Africa hakuna kitu cha maana chochote tulichofanya wakati white people ndo walioifikisha dunia hapa ilipo.
Hivi bila hawa jamaa ingekuwaje?
Hivi bila hawa jamaa ingekuwaje?