Kam kauwaaaaaaaaaa wee fumuaaaa tuuuuu😘!
Hua nanukuu mambo yako... hahaha...Kam kauwaaaaaaaaaa wee fumuaaaa tuuuuu😘!
🤠🤠🤠🤠🤠 Nimeona nikacheka kweliHua nanukuu mambo yako... hahaha...
Hilo nalo linakuumiza? Sasa kama wewe ndo una mpenda kweli si nawe uanze kumpost? Wanawake mnaoneana wivu wa kijinga sana.Yaani mdada kama Poshqueen ni mtu wa ku fall in love na mwanaume, hahaaaaa tena mwanaume mwenyewe Harmonize.😂
Baadhi ya wanawake (wengi wenu) mmetisha, mkiona mwanaume ana hela, mnajua kuigiza mmempenda kuliko waigiza filamu wa Hollywood, nje mnaonesha mnampenda kumbe moyoni mko tofauti, mnawaza maokoto.
Nimpe kongole harmonize kwa kula ule mzigo wa poshqueen, ila naamini hata harmonize mwenyewe kimoyo moyo anajua na kuwaza hapa kiuhalisia sipendwi, naigiziwa tu, ni hela zimemleta huyu mdada
cocastic huenda akawa na la kuongezea
Hawawezi kukuelewaWatu wapo kwenye cults...achana kabisa na kuuza soul
Huyu alipost sidhani km ni mwanamke🤣🤣Hilo nalo linakuumiza? Sasa kama wewe ndo una mpenda kweli si nawe uanze kumpost? Wanawake mnaoneana wivu wa kijinga sana.
Ndio Hali halisiHii kitu hii inaweza ikawa kweli!
MmhHarmonize ninachomkubali ni kitu kimoja tu, Hana unafiki katika mapenzi yake na mizigo.... Yaani huyu ndo sheikh kipoozeo original, akitoa neema za allah anaweka neema za allah... Hana ujinga
Duh huyu mzee namuoneaga huruma sn
Hawawezi kukuelewa
SI unajua wanafikiri kwamba vijana wanapambana😅
Hakuna mwanaume anayeweza kupost kitu kama hiki. Atakuwa ni mwanamke anaona wivu. Mwanaume anaandikaje kitu kama hiki?Huyu alipost sidhani km ni mwanamke🤣🤣
Watoto. Wamejiharibu wenyewe usiwasingizie wazazi.Duh huyu mzee namuoneaga huruma sn
Mchungaji,mzee obed,anawapenda wanawe ila mke kaharibu watt
Unawajua sn?Watoto. Wamejiharibu wenyewe usiwasingizie wazazi.
Kiukweli siwajui, ila nnachofaham watoto wakike mkiharibu mnakimbilia huruma ya mamaUnawajua sn?
Unamfaham Jaq before hajawa posh queen?
Mkuu hebu acha nipigie kimya tu....
Mdogo Ake ndo hakuwa mambo mengi,sijui Kwa ss km kabadirika.
Ila Jaq🙌......
Namfaham kabla hajaanza kujiongeza shep makalio hayo, na alikuwa mrembo...ni vile cm yangu iliibiwa those days tumepiga picha wote(tulikutana somewhere )akiwa kamaliza form 6 ndo anaenda IFM🙌......😷
baba wa watu ,sijui anaendeleaje sshv!
ila yule mama wa kinyarwanda kachangia sn huyu Binti kuharibika
Hivi wana hata mwezi?Washaachana